Huku niliko kwa leo tu wamekata mara 6Hadi saivi wamekata Mara 3 kwa asubuhi hii
U Communist ni ShidaHuu mwenendo hautusaidii Watanzania. Na umeletwa na CCM kwa sababu zao za kutaka fikra ziwe kwenye uchaguzi tuu.
Inakuwaje kila jambo jema linalofanywa na Serikali hii ya CCM sifa anapewa Rais na hasa mambo haya yalianzia kwa Magufuli na sasa yameota mizizi.
Lakini Serikali hiyo hiyo inaposhindwa jambo mfano hili janga la Umeme sasa hivi husikii akitajwa Rais Samia wala Serikali ya CCM bali January Makamba.
Au mambo ya Wamachinga, ukosefu wa maji Dar, kushindwa kwenye michezo, ukosefu wa ajira nk Rais hahusishwi kabisa bali yeye wanasubiri avae gwanda la Jeshi basi maccm yote yanalundikana kumsifu tuu.
Huu unafiki utatufikisha wapi? Jee hawajui kuwa kuficha donda ni kulifanya liwe donda ndugu?
Hiyo ndio ccm bhana ! mwenye hela nyingi mezani ndio huyo huyoHuu mwenendo hautusaidii Watanzania. Na umeletwa na CCM kwa sababu zao za kutaka fikra ziwe kwenye uchaguzi tuu.
Inakuwaje kila jambo jema linalofanywa na Serikali hii ya CCM sifa anapewa Rais na hasa mambo haya yalianzia kwa Magufuli na sasa yameota mizizi.
Lakini Serikali hiyo hiyo inaposhindwa jambo mfano hili janga la Umeme sasa hivi husikii akitajwa Rais Samia wala Serikali ya CCM bali January Makamba.
Au mambo ya Wamachinga, ukosefu wa maji Dar, kushindwa kwenye michezo, ukosefu wa ajira nk Rais hahusishwi kabisa bali yeye wanasubiri avae gwanda la Jeshi basi maccm yote yanalundikana kumsifu tuu.
Huu unafiki utatufikisha wapi? Jee hawajui kuwa kuficha donda ni kulifanya liwe donda ndugu?
lini hiyo!Makamba ndio katuahidi umeme hautakatika tena!
Kuna wamama pale Uyole wamenistua sana kwa kauli zao.Kwa ufupi mama ...
Sifa za Magufuli zilikua halali,aliitendea haki nafasi ya ukuu wa nchi ,kwa ni kinyaa tupuHuu mwenendo hautusaidii Watanzania. Na umeletwa na CCM kwa sababu zao za kutaka fikra ziwe kwenye uchaguzi tuu.
Inakuwaje kila jambo jema linalofanywa na Serikali hii ya CCM sifa anapewa Rais na hasa mambo haya yalianzia kwa Magufuli na sasa yameota mizizi.
Lakini Serikali hiyo hiyo inaposhindwa jambo mfano hili janga la Umeme sasa hivi husikii akitajwa Rais Samia wala Serikali ya CCM bali January Makamba.
Au mambo ya Wamachinga, ukosefu wa maji Dar, kushindwa kwenye michezo, ukosefu wa ajira nk Rais hahusishwi kabisa bali yeye wanasubiri avae gwanda la Jeshi basi maccm yote yanalundikana kumsifu tuu.
Huu unafiki utatufikisha wapi? Jee hawajui kuwa kuficha donda ni kulifanya liwe donda ndugu?
Chief Hangaya....Incompetence ya Hangaya!!
Ila Avatar yako ina sadifu kitu.....Nipo Arusha, umeme haupo upande niliopo, jana pia walikata mchana kutwa.
Hata huku Njombe hakuna umemeArusha,Morogoro,Mwanza,Tabora,Kahama,Singida Leo hii Hakuna Umeme
na Jitu linaingia Wizarani na Michuki kwa JPM Mtu hatunae tena
Tanesco Inarudi Nyuma Miaka 10 Kutoka sasa
Inakera sana
Sasa muda wa kulia Machozi ya damu umefika.....Magu alikuwa na deep state 2
1.Official
2.Personal (private)
Hii ilijitahidi kupita njia za mkato kwa faida na maumivu.
Unafiki tukiofundishwa na kulelewa nao nchi hii sidhani kama uko sehemu yeyote duniani. Hapa ndiyo kitovu chake na CCM ndiyo waasisi.Huu mwenendo hautusaidii Watanzania. Na umeletwa na CCM kwa sababu zao za kutaka fikra ziwe kwenye uchaguzi tuu.
Inakuwaje kila jambo jema linalofanywa na Serikali hii ya CCM sifa anapewa Rais na hasa mambo haya yalianzia kwa Magufuli na sasa yameota mizizi.
Lakini Serikali hiyo hiyo inaposhindwa jambo mfano hili janga la Umeme sasa hivi husikii akitajwa Rais Samia wala Serikali ya CCM bali January Makamba.
Au mambo ya Wamachinga, ukosefu wa maji Dar, kushindwa kwenye michezo, ukosefu wa ajira nk Rais hahusishwi kabisa bali yeye wanasubiri avae gwanda la Jeshi basi maccm yote yanalundikana kumsifu tuu.
Huu unafiki utatufikisha wapi? Jee hawajui kuwa kuficha donda ni kulifanya liwe donda ndugu?
pia petrol na diesel hamnaUmeme hamna, maji hamna, mfumuko wa Bei upo juu..…..!
Habari hizi hazikuwepo enzi ya Mwendazake.
Mama Anaupiga sana kuhusu UmemeMakamba ndio katuahidi umeme hautakatika tena!
Arusha mlishangiria sana kifo cha Magufuri,wacha muonjo joto la jiweHuku kjenge mwanama hakuna umeme pia mkuu...
Tulia wew, kila nafs itaonja umauti.Arusha mlishangiria sana kifo cha Magufuri,wacha muonjo joto la jiwe