Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,702
- 71,013
- Thread starter
- #61
Mama ni wa hovyo kwa sababu dhalimu alikuwa wa hovyo sana. Hakutengeneza mifumo heavy ya kitaasisi bali alikuwa anajijengea ego yake kama vile ataishi milele. Kiongozi bora ni yule ajengaye kesho imara kwa wengine na sio ubinafsi wa sifa kama mshamba yuleMtaelewa tu maninx!
Mlimuita Shetani dhalimu ila hamkuwahi kulala gizani wala kuumia na kiu cha maji!
Endeleeni kushangilia “Mama anaupiga mwingii”