Unafiki huu mpaka lini? Kila Zuri sifa Rais, Umeme ukikosekana lawama kwa Waziri

Mtaelewa tu maninx!

Mlimuita Shetani dhalimu ila hamkuwahi kulala gizani wala kuumia na kiu cha maji!

Endeleeni kushangilia “Mama anaupiga mwingii”
Mama ni wa hovyo kwa sababu dhalimu alikuwa wa hovyo sana. Hakutengeneza mifumo heavy ya kitaasisi bali alikuwa anajijengea ego yake kama vile ataishi milele. Kiongozi bora ni yule ajengaye kesho imara kwa wengine na sio ubinafsi wa sifa kama mshamba yule
 
Mama ni wa hovyo kwa sababu dhalimu alikuwa wa hovyo sana. Hakutengeneza mifumo heavy ya kitaasisi bali alikuwa anajijengea ego yake kama vile ataishi milele. Kiongozi bora ni yule ajengaye kesho imara kwa wengine na sio ubinafsi wa sifa kama mshamba yule
Kwangu mie udhaifu wa hayati nauona hapo ila sio kwamba hakuwa na nia thabiti ya kukomboa watanzania wenzake!

Alifeli hapo tu yani japo kuna mifumo alianza kuweka ila inazoroteshwa makusudi na walafi waliopo madarakani ili wapige hela!
 
Kwangu mie udhaifu wa hayati nauona hapo ila sio kwamba hakuwa na nia thabiti ya kukomboa watanzania wenzake!

Alifeli hapo tu yani japo kuna mifumo alianza kuweka ila inazoroteshwa makusudi na walafi waliopo madarakani ili wapige hela!
Wapotoshaji na waongo wako wengi sana serikali hii
Screenshot_20211117-114144_Twitter.jpg
 
Mama ni wa hovyo kwa sababu dhalimu alikuwa wa hovyo sana. Hakutengeneza mifumo heavy ya kitaasisi bali alikuwa anajijengea ego yake kama vile ataishi milele. Kiongozi bora ni yule ajengaye kesho imara kwa wengine na sio ubinafsi wa sifa kama mshamba yule
kwa hiyo mama anaijenga kesho kwa kukata umeme
 
39 Reactions
Reply
Back
Top Bottom