mtumishiwaleo
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 1,383
- 1,552
Ndio mnayajua leo, wakati mnashangilia amkujua kila Mtu atakufa ila kwa tarehe tofauti?Tulia wew, kila nafs itaonja umauti.
Ndio mnayajua leo, wakati mnashangilia amkujua kila Mtu atakufa ila kwa tarehe tofauti?Tulia wew, kila nafs itaonja umauti.
Mtaani kwetu ndio umerudi tangu asubuhiHadi saivi wamekata Mara 3 kwa asubuhi hii
We call it genius thinking outside the box. Umetisha sana mkuu Chakaza.unatakiwa uwe upgraded kwenye JF GTHuu mwenendo hautusaidii Watanzania. Na umeletwa na CCM kwa sababu zao za kutaka fikra ziwe kwenye uchaguzi tuu.
Inakuwaje kila jambo jema linalofanywa na Serikali hii ya CCM sifa anapewa Rais na hasa mambo haya yalianzia kwa Magufuli na sasa yameota mizizi.
Lakini Serikali hiyo hiyo inaposhindwa jambo mfano hili janga la Umeme sasa hivi husikii akitajwa Rais Samia wala Serikali ya CCM bali January Makamba.
Au mambo ya Wamachinga, ukosefu wa maji Dar, kushindwa kwenye michezo, ukosefu wa ajira nk Rais hahusishwi kabisa bali yeye wanasubiri avae gwanda la Jeshi basi maccm yote yanalundikana kumsifu tuu.
Huu unafiki utatufikisha wapi? Jee hawajui kuwa kuficha donda ni kulifanya liwe donda ndugu?
Sasa Generator tuwashie uji ?pia petrol na diesel hamna
Maji Sasahivi wanayafungulia saa 9 za usiku,kufika saa 11 asubui wanakata,hii Nchi ni ngumu sana.
Pole mkuu....shda ni yetu sote tutafte solution sahv.Ndio mnayajua leo, wakati mnashangilia amkujua kila Mtu atakufa ila kwa tarehe tofauti?
Hujawasikia Chama Cha Manafiki wakisema hadi 2030 eti kwa utendaji wake uliotukuka? Yaani nyama zinaoza kwenye fridge huo ni utendaji bora? Vijana saloon zao wanafunga kutwa nzima, welding hazifanyiki nk huo wote ni utendaji bora hasa kwa vile akivaa combat za jeshi anapendeza.Mnafiki namba moja ni Samia Suluhu, aliyekuwa msaidizi wa mwendazake sasa hivi anafumua kila sehemu!
Inabidi apumzishwe!
Mtaelewa tu maninx!Umeme hamna, maji hamna, mfumuko wa Bei upo juu..…..!
Habari hizi hazikuwepo enzi ya Mwendazake.
Mi nakumbuka aliyetuhaidi alikua Samia Suluhu 16 March 2021Makamba ndio katuahidi umeme hautakatika tena!
Hahhaa shida sana brother!Hujawasikia Chama Cha Manafiki wakisema hadi 2030 eti kwa utendaji wake uliotukuka? Yaani nyama zinaoza kwenye fridge huo ni utendaji bora? Vijana saloon zao wanafunga kutwa nzima, welding hazifanyiki nk huo wote ni utendaji bora hasa kwa vile akivaa combat za jeshi anapendeza.
Nadhani kama Sub woofer ya mjengoni ili kiri ina faili Mirembe jee wangapi ndani ya chama hilo hawana mafaili?
wabongo akili zetu tunazijua wenyewe tulishindwa kutumia akili hata machoMtaelewa tu maninx!
Mlimuita Shetani dhalimu ila hamkuwahi kulala gizani wala kuumia na kiu cha maji😀!
Endeleeni kushangilia “Mama anaupiga mwingii”
CCM ni kusanyiko la waharifu tupuHuu mwenendo hautusaidii Watanzania. Na umeletwa na CCM kwa sababu zao za kutaka fikra ziwe kwenye uchaguzi tuu.
Inakuwaje kila jambo jema linalofanywa na Serikali hii ya CCM sifa anapewa Rais na hasa mambo haya yalianzia kwa Magufuli na sasa yameota mizizi.
Lakini Serikali hiyo hiyo inaposhindwa jambo mfano hili janga la Umeme sasa hivi husikii akitajwa Rais Samia wala Serikali ya CCM bali January Makamba.
Au mambo ya Wamachinga, ukosefu wa maji Dar, kushindwa kwenye michezo, ukosefu wa ajira nk Rais hahusishwi kabisa bali yeye wanasubiri avae gwanda la Jeshi basi maccm yote yanalundikana kumsifu tuu.
Huu unafiki utatufikisha wapi? Jee hawajui kuwa kuficha donda ni kulifanya liwe donda ndugu?
Yeye yupo busy na safariMama anaupiga mwingi,suala la umeme halimhusu kabisa yupo Waziri wa Nishati.
Huku wamekata now dahJana walikata 10 alfajiri, wakaurudisha saa 4 usiku.
Leo saa 4 wameuchukua tena