So you think that is the correct way of moving the economy kuendelea kuwabamiza sekta pekee za uzalishaji zilizobakia na kuwaachia sekta zengine zikipeta tu. Fiscal policy has to a flexible policy kutokana na mahitaji ya nchi husika kwasababu in the long run hizo sekta wanazozibamiza tax zitakuja kushindwa kumudu kwasababu wateja watashindwa kununua bia na viwanda vitafungwa na huku zile rasilimali tunazoziacha zikayoyoma tutakuwa hatuna tena.
Binafsi kama wanaongeza kodi za vinywaji basi kuweko na long term plan ya kutoa subsidies kwa viwanda vidogo vidogo ili nao waweze kuzalisha bia za ubora. ili wakija kupunguza kodi baadae tunaweza kuwa tumeongeza viwanda na kuongeza mapato. Serikali yetu inafikiria njia moja pandisha kodi wanasahau kuna njia nyingi za kuongeza mapato moja wapo ni kupunguza matumizi ya serikali.