Unafanyaje?

Kwanini asitulie alee huyo aliyenae mpaka atakapotokea mtu wa kueleweka?

Angekua hana kabisa ningeelewa mchecheto unapotokea. . . ila kwasababu anae mmoja angetulia nae ampe hayo mapenzi yote anayotamani kumpa mtoto mpya mpaka atakapokua kwenye position ambayo hana haja ya kutafuta mtu wa kuzaa nae, ila anaamua tu iwe lini.

......Ni kweli Lizzy hata mie nilimwambia atulie but naona amekuwa ameaamua. Mwanaye huyo ana miaka sita anakwenda wa saba sasa na alitengana na mumewe wakati mwanaye huyo akiwa na umri wa miaka minne. She is nearly 40
 
......Ni kweli Lizzy hata mie nilimwambia atulie but naona amekuwa ameaamua. Mwanaye huyo ana miaka sita anakwenda wa saba sasa na alitengana na mumewe wakati mwanaye huyo akiwa na umri wa miaka minne. She is nearly 40


Mj1,

Huo si umri mzuri wa kutafuta watoto katika mazingira yetu ambayo huduma za afya ni duni na zinaendeswa kwa amri ya mtoto wa mkulima!!
 
...nashawishika kujibu kwamba lisilobudi hutendwa soulmate wangu...
ile thread yangu ya mtoto wa kike nilipewa changamoto nyingi sana, na mojawapo lililonigusa sana
was, nitakuwa simtendei haki mtoto wala huyo mama niliyekuwa nimemdhamiria nimzalishe binti...
kwani hiyo itakuwa kukidhi matamanio ya nafsi yangu pekee...kumbuka, nilitaka mtoto pekee, sio whole package.

...kwa mada yako hii, sijaelewa mdada kakusudia kujitegeshea kwa ex-hubby wake apate mimba nyingine,
au umekusudia nini...sijakuelewa....lakini kama lengo ni kuzaa na ex-hubby, ni powa tu...madhali hawajaachana
[wametengana tu]....kwangu mimi nadhani hiyo ina nafuu hata kwa malezi ya mtoto iwapo mama mtu atapatwa na matatizo baada ya kujifungua, nk...

Amtegeshee?? Loh.....badala ya kupata mimba anapata ukimwi, mchezo!!!
 

hahahaha, hii ndiyo global warming ya Al Gore bana...sie tunaisubiria february snow imagine?
no wonder kulikuwa na mafuriko mto msimbazi!....

anyway,...mwj1 kaleta mambo hapa, tuendelee kuchambua...maana mimi na ex wangu akileta
za kucheka cheka nami "navaa pads," nasema nipo mwezini...mambo ya kupeana majukumu na uzee huu,
kopo la lactogen sijui formula 1 tshs 15,000/= siyawezi...tena hilo kopo mtoto analifuta katika 36hrs pekee,...

...hapo hujalipia 3.5m/= per term school fees kwenye st. academy!...natuendelee kumsoma, japo honestly 100%
kama mwj1 ndiye angekuwa mhusika hapa ningejitolea mhanga aisee...hilo toto litakuwa supa, maana mama mwenyewe mashaallah!
hahah...

Hahahahah Mbu sasa unakimbia majukumu sasa hahahhahah nimeccheka hadi nimelia aisee.

Haya hapo kwa muhusika ina maana hata ningekuwa Ex wako usingenivalia hizo pads? hah eti Mashaallah!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
mmmhhhhhh!...

kwa hiyo tumeconclude nin sasa?

Teamo, wengi wako upande wa akubali matokeo abakie na mtoto mmoja.
Ingawa mie nilimshauri atafute kwa mwingine but I guess sikuwa nimeiangalia option hii vizuri! watoto wa baba tofauti
 
mmmhhhhhh!...

kwa hiyo tumeconclude nin sasa?

Mwisho wa siku kila mtu anaamua anachotaka, ila tusisahau kila mtoto anamuhitaji baba na mama. Na kama umeamua kuchanganya, especially kwa kina mama kuna challenge sana kulea watoto ambao kila mmoja ana baba yake.
Naamini la msingi kabisa ni kuangalia yaliyopo halafu ukapanga yanayokuja na kupima pros and cons zimekaaje. Period!!!
 
best tatizo unaweza usilione leo lakini baada ya miaka michache likakutesa maisha yako yote na kwa umri wa huyo dada anazaa na kijana hajaoa,anavizia mbegu za mume aliyemuacha au ni mume wa mtu?maana hapo kuna mengi na anayethaminishwa mbegu atakubali majukumu au ndo yale yale
 
Aksante Soulmate, umenielewa vilivyo. Lengo lake ni mtoto ila kinachonishtusha kwake ni kuwa yeye hana hata mawasiliano na huyo Baba mtoto wake!!! Ila ndo amedetermine kumsaka hadi ampate. Ndo mana nikajiuliza kama ana kichaa ??

Yeah ile thread yako kulikuwa na options nyingi. Ngoja niitafute nimprintie.

Kwanza naanzaje kumtafuta mwanamme ambae I don't even know where the hell is he?? Nimeshindwa kuadopt, nimeshindwa kumpata mtu wa kueleweka nizae nae......basi its better nikajiridhisha kabisa kwa huyo mmoja nilonae.
 
best tatizo unaweza usilione leo lakini baada ya miaka michache likakutesa maisha yako yote na kwa umri wa huyo dada anazaa na kijana hajaoa,anavizia mbegu za mume aliyemuacha au ni mume wa mtu?maana hapo kuna mengi na anayethaminishwa mbegu atakubali majukumu au ndo yale yale
Aksante dia. huyo mume anayeviziwa hapa alikuwa mume wake (au bado ni mumewe ingawa walitengana kwa miaka mitatu iliyopita). HAWANA MAWASILIANO KWA MUDA MREFU. Yaani si yule mume wa kuja kumsalimia mtoto wala nini, hawajapeana talaka. Sasa ninachojiuliza hapa ni anaanzaje kumtafuta na kumwelewesha? Mbu amenipa jibu

...Ahhh, kwa wewe ajali kazini bana...i'll blame mzaramo "konyagi" na mikono yake!
Hahh siwezituma maombi Soulmate? au nitume mzaramo kabisa?
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Haaahaaa! Tutailamu konyagi na mikono yake kwa kuleta sokomoko ndani ya mji wa tu! Hii kali, duuh

Umeona eh Ndahani! Yaani Soulmate wangu ananichuuza. Halafu Konyagi ikiisha kichwani, uex na chuki zake unarudi pale pale! Au ndo atasema si umeshapata ulichokuwa unahitaji!!
 
Kipipi mdogo wangu, kua uyaone.
It's so hard kuwa na mtoto mmoja
utachukua any risk kama hata kuna 0.1 % ya kupata mtoto.

So many things, wazazi, mtoto mwenyewe, ndugu, nafsi yako mwenyewe.

Afu hakuna adui mbaya kama nafsi yako mwenyewe. Kama ulipanga maishani kupata watoto 3 afu circumstance zikakufanya upate mmoja, sio rahisi kabisa kulibeba.

Kwanza naanzaje kumtafuta mwanamme ambae I don't even know where the hell is he?? Nimeshindwa kuadopt, nimeshindwa kumpata mtu wa kueleweka nizae nae......basi its better nikajiridhisha kabisa kwa huyo mmoja nilonae.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom