Unafahamu nini kuhusu Andrew Chenge?

Unafahamu nini kuhusu Andrew Chenge?

Yeye ndio aliyetunga sheria za nchi hii sasa utatungaje kitu kitakachokufunga yeye kaacha baadhi ya loopholes ndio huwa anachomokea humo refer ile kesi yake ya kuwagonga na gari wale wadada wa mwanza na kuwaua then akalipa laki saba kama faini na gari lake lilikutwa halina hata insuarance


Ni kama wakati anaandika sheria zetu alijua kuwa siku moja atagonga na kuua
 
Habari zenu wakuu. Miongoni mwa watu ambao sielewi kabisa mambo yao ni mbunge wa Bariadi Mh Andrew Chenge, nasema hivyo kwasababu ni mtanzania pekee aliye tajwa sana kwenye kashfa nyingi (karibu zote zile kubwa kubwa).

Lakini pamoja na hayo huyu bwana tangu ni mfahamu amekuwa akihusishwa ktk kuongoza shughuli nyeti MF. Kwenye marekebisho ya katiba yaliyofanyika 2005 yeye ndo alikuwa mwenyekiti wa kamati hii nyeti.

Katika mchakato wa kuhitimisha katiba ya Warioba yeye alichaguliwa kwa mara nyingine kuongoza jopo la wataalamu ku finalize mambo kabla ya kumalizia hatua yamwisho.

Kwasasa huyu bwana ni Mwenyekiti wa Bunge.

Najiuliza hivi yale tuliyokuwa tukiyasikia alikuwa anasingiziwa?

Kama jibu ni hapana kwanini haungani na akina Rugemarila na Seth? Kama hahusiki ni kwanini walimsingizia yeye na si mtu mwingine?

Kwanini hata wasinge singizia mtu 1 kwa kila scandal?

Wewe unafahamu nini kuhusu Mtemi Chenge? aka Joka lenye makengeza.
Chenge ni akili kubwa na kumuelewa pia inahitajika akili na kwa kuwa watanzania wengi tuna akili ndogo na tu wavivu wa kufikiria na kuyaangalia mambo kwa upana wake,kwa Chenge tutapata tabu sana.
 
kwangu mimi ninamwona kama ni mtu aliyetumia muda mwingi tunaomlipa katika to mislead OUR national;parliament and he violated our constitution and all the executive code of ethics,pia amejionyesha kuwa ni mtu mpenda madaraka by all cost,sio honest na ni mwongo mkubwa;ILA ninamwona kama atakuwa mmoja wa wakimbizi wa mwanzo kabisa kuikimbia nchi once upepo utakapo badilika kuvuma,for now mwache a relax ila aelewe kuwa ipo siku nchi hii itapata ile freedom of expression,freedom of press,uchaguzi huru na haki;hata kama kutapita zaidi ya generations 3,aelewe kuwa generations zake atazipa wakati mgumu wa kujibia haya anayoyafanya;
Chenge anaakili na ni mkweli sana,ukosefu wetu wa akili ndo unatufanya tumuone mwizi,wakati wezi wa kweli tunashinda tunawasifu na kuwaabudu kwamba ndo wazalendo
 
Habari zenu wakuu. Miongoni mwa watu ambao sielewi kabisa mambo yao ni mbunge wa Bariadi Mh Andrew Chenge, nasema hivyo kwasababu ni mtanzania pekee aliye tajwa sana kwenye kashfa nyingi (karibu zote zile kubwa kubwa).

Lakini pamoja na hayo huyu bwana tangu ni mfahamu amekuwa akihusishwa ktk kuongoza shughuli nyeti MF. Kwenye marekebisho ya katiba yaliyofanyika 2005 yeye ndo alikuwa mwenyekiti wa kamati hii nyeti.

Katika mchakato wa kuhitimisha katiba ya Warioba yeye alichaguliwa kwa mara nyingine kuongoza jopo la wataalamu ku finalize mambo kabla ya kumalizia hatua yamwisho.

Kwasasa huyu bwana ni Mwenyekiti wa Bunge.

Najiuliza hivi yale tuliyokuwa tukiyasikia alikuwa anasingiziwa?

Kama jibu ni hapana kwanini haungani na akina Rugemarila na Seth? Kama hahusiki ni kwanini walimsingizia yeye na si mtu mwingine?

Kwanini hata wasinge singizia mtu 1 kwa kila scandal?

Wewe unafahamu nini kuhusu Mtemi Chenge? aka Joka lenye makengeza.
Joka lenye makengeza
 
He's one of the Law Geniuses in the World, ninarudia, in the World. Anaijua vizuri sheria.
Shida ya Chenge ni kuishi Tanzania ambapo watu wengi ni vilaza,wanaopigia makofi kila kitu wanachoambiwa bila kutafakari
 
kwangu mimi ninamwona kama ni mtu aliyetumia muda mwingi tunaomlipa katika to mislead OUR national;parliament and he violated our constitution and all the executive code of ethics,pia amejionyesha kuwa ni mtu mpenda madaraka by all cost,sio honest na ni mwongo mkubwa;ILA ninamwona kama atakuwa mmoja wa wakimbizi wa mwanzo kabisa kuikimbia nchi once upepo utakapo badilika kuvuma,for now mwache a relax ila aelewe kuwa ipo siku nchi hii itapata ile freedom of expression,freedom of press,uchaguzi huru na haki;hata kama kutapita zaidi ya generations 3,aelewe kuwa generations zake atazipa wakati mgumu wa kujibia haya anayoyafanya;
Senseless, fanya kazi kwa bidii na maarifa, utafanikiwa, acha kupiga ramli kila uchao
 
HUYO MZEE NI MCHAWI SANA ANATOKA KIJIJI KINAITWA GAMBOSHI
Angekuwa wa Casicasini ungesema ana akili/mjanja sana. Lakini kwa kuwa ni kinyume chake imekuwa ni MCHAWI na sisi hawa hawa ndo wa kwanza kupinga sheria ya makosa ya mtandaoni Na. 12/2016 tukitaka "freedom of speech"

Naamini akiamua kuchukua mkondo wa sheria tajwa hapa, utakuja na povu kuwa Serikali ya awamu ya 5 ni "onevu"

Ni imani yangu hata ww mtaani kwako au group lako lolote la internet ukiitwa "MCHAWI" utaishia kufungua kesi ikiclaim "Damages".
 
Chenge ni mmoja wa watu wachache sana wenye akili duniani ...huyu Msukuma hashikiki uchawi wake mkubwa upo kichwani
 
Hakuna lilojificha hapa Manengelo, yani alikukuta tu umekaa au mnafahamiana nae


Ilikua idd last yr...nikatoka na wanangu .hyo sehem sijawah kwennda...kulikua na mkutano Dom..so walipita pale kula...akawa anawaangalia wanangu wanavyoinjoy na jumping casstle...later akaja mwanangu akamsalimia kiinglish..ndo ikawa mwanzo wakutaka kumjua mama yao...lol..na alivyojua kabila 1 ..akanitandazia mapene...dadreeek
 
Mimi namfahamu as a Havard Law graduate, Havard ndio the 2 best law school duniani baada ya Yale.


P
 
Ilikua idd last yr...nikatoka na wanangu .hyo sehem sijawah kwennda...kulikua na mkutano Dom..so walipita pale kula...akawa anawaangalia wanangu wanavyoinjoy na jumping casstle...later akaja mwanangu akamsalimia kiinglish..ndo ikawa mwanzo wakutaka kumjua mama yao...lol..na alivyojua kabila 1 ..akanitandazia mapene...dadreeek
Utakuwa mbunge wa viti maalumu wewe
 
Back
Top Bottom