Mkuu ulikumbuka kingaIlikua idd last yr...nikatoka na wanangu .hyo sehem sijawah kwennda...kulikua na mkutano Dom..so walipita pale kula...akawa anawaangalia wanangu wanavyoinjoy na jumping casstle...later akaja mwanangu akamsalimia kiinglish..ndo ikawa mwanzo wakutaka kumjua mama yao...lol..na alivyojua kabila 1 ..akanitandazia mapene...dadreeek