Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,762
- 4,576
Habari zenu wakuu. Miongoni mwa watu ambao sielewi kabisa mambo yao ni mbunge wa Bariadi Mh Andrew Chenge, nasema hivyo kwasababu ni mtanzania pekee aliye tajwa sana kwenye kashfa nyingi (karibu zote zile kubwa kubwa).
Lakini pamoja na hayo huyu bwana tangu ni mfahamu amekuwa akihusishwa ktk kuongoza shughuli nyeti MF. Kwenye marekebisho ya katiba yaliyofanyika 2005 yeye ndo alikuwa mwenyekiti wa kamati hii nyeti.
Katika mchakato wa kuhitimisha katiba ya Warioba yeye alichaguliwa kwa mara nyingine kuongoza jopo la wataalamu ku finalize mambo kabla ya kumalizia hatua yamwisho.
Kwasasa huyu bwana ni Mwenyekiti wa Bunge.
Najiuliza hivi yale tuliyokuwa tukiyasikia alikuwa anasingiziwa?
Kama jibu ni hapana kwanini haungani na akina Rugemarila na Seth? Kama hahusiki ni kwanini walimsingizia yeye na si mtu mwingine?
Kwanini hata wasinge singizia mtu 1 kwa kila scandal?
Wewe unafahamu nini kuhusu Mtemi Chenge? aka Joka lenye makengeza.
Lakini pamoja na hayo huyu bwana tangu ni mfahamu amekuwa akihusishwa ktk kuongoza shughuli nyeti MF. Kwenye marekebisho ya katiba yaliyofanyika 2005 yeye ndo alikuwa mwenyekiti wa kamati hii nyeti.
Katika mchakato wa kuhitimisha katiba ya Warioba yeye alichaguliwa kwa mara nyingine kuongoza jopo la wataalamu ku finalize mambo kabla ya kumalizia hatua yamwisho.
Kwasasa huyu bwana ni Mwenyekiti wa Bunge.
Najiuliza hivi yale tuliyokuwa tukiyasikia alikuwa anasingiziwa?
Kama jibu ni hapana kwanini haungani na akina Rugemarila na Seth? Kama hahusiki ni kwanini walimsingizia yeye na si mtu mwingine?
Kwanini hata wasinge singizia mtu 1 kwa kila scandal?
Wewe unafahamu nini kuhusu Mtemi Chenge? aka Joka lenye makengeza.