Unadhani hawajisikii vibaya?

Unadhani hawajisikii vibaya?

Ni majanga makubwa sana Mkuu hasa ukitilia maanani utajiri mkubwa wa rasilimali mbali mbali ambazo tumejaliwa nchini.

Mfano ni Tanzanite ambazo nchi pekee duniani yenye madini haya ni Tanzania lakini wanashindwa kuyalinda na kujenga Kiwanja cha kusafisha tanzanite nchini, matokeo yake India ni ya kwanza duniani kwa mapato ya Tanzanite duniani kisha USA, Kenya na sisi ni wanne!!!
Kumbe Mwendazake alikuwa na mawazo mazuri kama yako, alianza na kujenga ukuta, sasa Tanzanite tumidhibiti na soko lake ni hapohapo merelani,
Sio kenya tena wala India.

hii ni miaka mitano baadaye.

Mungu ampe wepesi wa kaburi Shujaa
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
😂😂😂😂😂😂😂
Kumbe Mwendazake alikuwa na mawazo mazuri kama yako, alianza na kujenga ukuta, sasa Tanzanite tumidhibiti na soko lake ni hapohapo merelani,
Sio kenya tena wala India.

hii ni miaka mitano baadaye.

Mungu ampe wepesi wa kaburi Shujaa
 
Niseme tu serikali ya ccm imeshindwa kuzigeuzwa fursa tel za raslimali kuwa ajira,kama wakoloni waliweza kwa raslimali hizi hizi why wao wameshindwa kuzitumia.
 
Ni muhimu sana kwa vijana kubadilisha mind set,na ku study trend ya dunia.Trend ya dunia ni AI na robotics,kazi zinazidi kupotea.
Na ni jukumu la serikali pia kuwaandaa kimitaala ili waweze kubadili mindset
 
JESHI LA POLISI LIMETANGAZA NAFASI ZINGINE MPYA ZA AJIRA


Deadline: September 29,2021


Wanahitajika nafasi hizi

● Secretaries wanahitajika

● Watu wa Ofisini- Photocopy, Telephones

● Muongozaji wa kuimba Kwaya

● Muongozaji wa Kucheza Muziki

● Waongozaji Mbwa
● Performing Arts /Theater Arts
● Mafundi wa Sauti
● Mafundi Seremala
● Mafundi Makanika
● Mafundi wa magari
● Mafundi wa Umeme
● Mafundi wa AC (air conditioner)
● Wapigaji Rangi
● Wachoraji
● Mafundi mabomba
● Mafundi Rangi
● Madaktari Wanahitajika
● Nurses wanahitajika
● Midwifery Nurses anahitajika
● Engineers
● Radiographer
● Optometrist
● Optician
● Medical Records
● Rubani anahitajika
● Mafundi Wachomeleaji
● Radar Operators
● Scuba Diving
● Navigators
● Mafundi wa vyombo vya majini
● Catering
● Usukaji Chuma
● Mpanda farasi

Bonyeza Link-Kufahamu Jinsi ya kutuma maombi


▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬

WARNING: Hakuna malipo yoyote yanayohitajika katika ku-Apply ajira hizi
 
FB_IMG_1632350688063.jpg
 
Hawa wameamua kujilipua wakatafute maisha ughaibuni.. Hiki ndicho walichokutana nacho.. Unyama wa kutosha
 
 
Kabla Jiwe HAJARUDISHA NCHI UJIMANI, SEKTA BINAFSI, MUAJIRI MKUU, ILIKUWA NA UELEKEO!
... Jamaa akaja na sera zake za " ... HELA YA SEREKALI ...!" ... YAANI AKAICHIMBIA TALANTA ALIYOPEWA! ... ISIIBIWE!😅
 
Mshana Jr dah hili andiko lako linahuzunisha sana ila linatia morali kwa vijana hasa kuamka na kuwaza ni kipi sasa kifanyike ikiwa ajira haijapatikana , umezungumza ukweli mtupu

Mara moja nilipata nafasi ya kufika mpaka wa Tanzania na Uganda yaani Mutukula , nilifika usiku sana kutokea bukoba mjini

Punde baada ya kufika ile nashuka kwenye gari nililokuwemo nilipata kushuhudia watu wengi wakiwa wamemzingira kijana wa makamo yangu , huku mwenye jiwe , mwenye fimbo na kila silaha waliyoweza kuwa nayo wakimpiga kijana yule ...

Huku wakisema wezi wamezidi mahali pale ila zaidi nikamsikia kijana mmoja akisema kwa leo nahisi huyu jamaa kapitiwa tu mpaka kuiba hiyo chupa ya mama ntiliye uwa si tabia yake , maana yeye uwa anapiga debe ,kwenye gari ziendazo Bukoba mjini na hela yake uishia kwenye pombe basi hiyo ndiyo furaha ya kijana yule.

Punde polisi wa Tanzania na wale askari wa upande wa pili walifika pale nakumchukua pale yule kijana ingali afya yake ikiwa imekatishwa tayari kwa kile kipigo .

Nilijikuta nalia usiku mzima punde baada ya kutajiwa jina la muhusika na kugundua ni jamaa tulikuwa wote chuo those years na pia alikuwa vizuri ila frustrations za ukosefu wa ajira zimempeleka akhera .

Hivyo hatuna budi kuendelea kuombewa hasa vijana kwa hali ya sasa ni ngumu na vijana tumekata tamaa .

Ila wengine tuliobahatika kuwepo mahali fulani kwa muda fulani embu tupaheshimu na kuwa na maono endelevu .

Bravo Mshana Jr
 
Mshana Jr dah hili andiko lako linahuzunisha sana ila linatia morali kwa vijana hasa kuamka na kuwaza ni kipi sasa kifanyike ikiwa ajira haijapatikana , umezungumza ukweli mtupu

Mara moja nilipata nafasi ya kufika mpaka wa Tanzania na Uganda yaani Mutukula , nilifika usiku sana kutokea bukoba mjini

Punde baada ya kufika ile nashuka kwenye gari nililokuwemo nilipata kushuhudia watu wengi wakiwa wamemzingira kijana wa makamo yangu , huku mwenye jiwe , mwenye fimbo na kila silaha waliyoweza kuwa nayo wakimpiga kijana yule ...

Huku wakisema wezi wamezidi mahali pale ila zaidi nikamsikia kijana mmoja akisema kwa leo nahisi huyu jamaa kapitiwa tu mpaka kuiba hiyo chupa ya mama ntiliye uwa si tabia yake , maana yeye uwa anapiga debe ,kwenye gari ziendazo Bukoba mjini na hela yake uishia kwenye pombe basi hiyo ndiyo furaha ya kijana yule.

Punde polisi wa Tanzania na wale askari wa upande wa pili walifika pale nakumchukua pale yule kijana ingali afya yake ikiwa imekatishwa tayari kwa kile kipigo .

Nilijikuta nalia usiku mzima punde baada ya kutajiwa jina la muhusika na kugundua ni jamaa tulikuwa wote chuo those years na pia alikuwa vizuri ila frustrations za ukosefu wa ajira zimempeleka akhera .

Hivyo hatuna budi kuendelea kuombewa hasa vijana kwa hali ya sasa ni ngumu na vijana tumekata tamaa .

Ila wengine tuliobahatika kuwepo mahali fulani kwa muda fulani embu tupaheshimu na kuwa na maono endelevu .

Bravo Mshana Jr
Nilijikuta nalia usiku mzima punde baada ya kutajiwa jina la muhusika na kugundua ni jamaa tulikuwa wote chuo those years na pia alikuwa vizuri ila frustrations za ukosefu wa ajira zimempeleka akhera .
Dah pole sana mkuu
 
Back
Top Bottom