Unadhani hawajisikii vibaya?

Unadhani hawajisikii vibaya?

Sometimes kazi tunajikosesha wenyeweView attachment 2371193
Tukiwa tunasema kwamba watu wajitahidi kuandika vizuri na kwa ufasaha wanasema oohh watu mliosoma HKL mnajulikana mtadhani mnakula muandiko! Sasa ona amekosa kazi.

Wengi wako hivi hata meseji za kawaida kuulizia mchongo wa kazi, biashara,connections wanakosea sana,inamkosesha mtu umakini wa kumpa kazi.

Vijana wengi siku hizi ni wabishi ,hawataki kurekebishwa, miandiko yao kama Lugha za biashara za matangazo.
 
Tukiwa tunasema kwamba watu wajitahidi kuandika vizuri na kwa ufasaha wanasema oohh watu mliosoma HKL mnajulikana mtadhani mnakula muandiko! Sasa ona amekosa kazi.

Wengi wako hivi hata meseji za kawaida kuulizia mchongo wa kazi, biashara,connections wanakosea sana,inamkosesha mtu umakini wa kumpa kazi.

Vijana wengi siku hizi ni wabishi ,hawataki kurekebishwa, miandiko yao kama Lugha za biashara za matangazo.
Xbir, xaxa, mishe vp..
 
Humo humo kaka ,xaxa boxi hile kaxi vp jomoni!! anamkolozea na makopa kabisa.
FB_IMG_1683442909126.jpg
 
Wanaume wapendwa,

Ukipata fursa ya kumwinua mtu asiye na kazi, tafadhali usisite kufanya hivyo. Wanaume wasio na kazi wamefunikwa na hali ya chini ya kujithamini, wengine hata hawaheshimiwi na watu wao.

"MWOKOE MWANAUME NA KUFANYA AJISIKIE WA THAMANI"
IMG-20240219-WA0072.jpg
 
nimecheza anga zote mbili..jaribu kuanzisha biashara yako leo hii ili ujikwamue kimaisha baada ya kukosa ajira uone mziki wake
Kupata tu nyaraka za kukutambua kama mjasiriamali unaweza kukata tamaa na kurudi kijiweni ukavute bangi
Michakato migumu kuanzia kupata mtaji mpaka kusimamisha biashara imewashinda wengi
Kuna mhitimu mmoja anaendesha bajaji ya mtu, masimango kibao, mara chuma imeloga, jamaa yupo frustrated sana, hofu ya kunyang'anywa chombo huku hana ajira yani ni tafrani mazee
 
Back
Top Bottom