Unabii mzito kwa nchi

Ila samia taongoza nakumalizia uongozi wake .
Nahakuna mtu atakayemfanya kitu unaona kawachukua mazombi yote ya na matshirts ccm mbele kwa mbele
Tutaona
Utanikumbusha sk kama atamaliza madaraka
 
Zaburi 33:12
"Heri taifa ambalo Mungu wake ni Bwana, Watu aliowachagua kuwa urithi wake."

"Blessed is the nation whose God is the Lord; and the people whom he hath chosen for his own inheritance.

2 Mambo ya Nyakati 7:14
"Ikiwa watu wangu, walioitwa kwa jina langu, watanyenyeka, na kuomba, na kunitafuta uso wangu, na kuacha njia zao mbaya; basi nitasikia toka mbinguni, nitawasamehe dhambi yao, na kuponya nchi yao."

"If my people, which are called by my name, shall humble themselves, and pray... then will I hear from heaven, and will heal their land.
 
Aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…