Una tembo card master card???????

Smarty

JF-Expert Member
Feb 25, 2011
776
426
jamani hili tangazo mi silipendi sana hasa kipindi hiki ambacho nataka wakwe wakanitambue! jamaa kajitahidi ana vx, nyumba kali, kazi ndefu na demu wake atakuwa mkali vilevile ila tatizo hana tembo card master card!nikiskia huwa nachoka sana hivi mambo ndo yalivo huko ukweni? wazoefu tujuze
 
jamani hili tangazo mi silipendi sana hasa kipindi hiki ambacho nataka wakwe wakanitambue! jamaa kajitahidi ana vx, nyumba kali, kazi ndefu na demu wake atakuwa mkali vilevile ila tatizo hana tembo card master card!nikiskia huwa nachoka sana hivi mambo ndo yalivo huko ukweni? wazoefu tujuze


Girlfriends are medicines they come with an expiry date!
 
Kama linakubabaisha usioe ili kuwakomoa hao wakwe... Be a bachelor forever.
 
jamani hili tangazo mi silipendi sana hasa kipindi hiki ambacho nataka wakwe wakanitambue! jamaa kajitahidi ana vx, nyumba kali, kazi ndefu na demu wake atakuwa mkali vilevile ila tatizo hana tembo card master card!nikiskia huwa nachoka sana hivi mambo ndo yalivo huko ukweni? wazoefu tujuze

Nasoma katikati ya misitari
 
Hilo ni tangazo la biashara halina uhusiano na hayo unayokwenda kufanya na hao wakwe zako. Kwa ujumla unachoweza kuulizwa na wakwe zako ambacho hata mchumba wako anapaswa kukuuliza ni. Jee wewe background yako ni ipi, wazazi wako wanatokea sehemu gani, unafanya shughuli gani? ili wawe na uhakika mtoto wao ataishi na mtu wa namna gani.
 
chukua majib, nyumba ipo gongo la mboto,nafanya kazi stendi ya mkoa,gari nnayo lakini inakula vichwa mpiji, hapo watakukubali, kuhusu kadi waambie unayo ya gari!
 
Tembo card usijaribu kununuwa kitu Amazon... khabar yake utaipata..! i prefer visa gift card.. nanunuwa ya kiasi flani.. baada ya matumizi naisahau..
 
Mi ninayo, nikuazimishe au niende badala yako???? just kidding
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom