Akili Kichwani
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,508
- 216
njoo nikutengeneze ndoa yako achana na kukimilia kwakina dk manyuki awakusaidii...tatizo lako tena ni dogo kweli waala aliiitaji kwenda kwa DK MANYUKI...wewe tu kutoa stress yako ya maisha u relax,...inakuwa norma n well function
watakupa dawa zisizo na vipimo halisi huku unapewa NENO LA mungu KWANZA UNABAKIZA IMANI YAKO KUSIKILIZA NA KUTENDA UNAENDA ZAKO!@@
EASY...COME N TAKE NT QUICK N PAY
kumbe biashara zako ni kama za akina rwakatare?????.............. hahaha.............. bongo wajasiriamali wengi sana............ tumebarikiwa kwa ilo................ haya wale wadanganyika changamkeni sasa soko lingine limeanzishwa tayari........... liaanza na focus ya ndoa na baadaye litaextend hadi kwenye maeneo mengine ambayo ni fast moving ................