Warren.T
JF-Expert Member
- May 3, 2015
- 900
- 318
Magufuli na wokovu ndio habari ya mjini....
No!Lowasa ndiye jembe na ndiyo habari ya mjini!
Magufuli na wokovu ndio habari ya mjini....
Endelea kugonga tu...., maana wewe ndio tatizo na wala hujitambui!
Unatembeaje na mwanamke ambae alishakuambia ana rafiki tayari!?
Hata kama anajigonga kwako huna utashi wa kumueleza ukweli? au kwa sababu papuchi imejileta basi we kama yale medege yala mizogo porini wagonga tu!!