Himawari
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 2,609
- 1,703
Tatizo lako nn?
Teh, comment imekutatiza au watafuta tatizo langu.?!
Kila la kheri!
Tatizo lako nn?
Ni ngumu sana kumuelewa labda unipe namba yake.
Hujitambui tu, yeye ndiyo ANAKUGEGEDA!
tajirijasiri
Kama mtu alikuwa waziri au hata mkuu wa mkoa katika serikali ya Kikwete, hafai kuwa Rais wa Tanzania. Kimsingi mtu huyo ni sehemu ya uongozi mbovu na wa hovyo ulioliingiza taifa letu katika umaskini mkubwa na mdororo wa uchumi tulionao sasa. Kama mtu huyu alijua namna ya kuiokoa nchi na hakufanya hivyo, ina maana alitusaliti watanzania na hafai kuwa Rais wa nchi. Kama hakujua ni nini cha kumshauri Kikwete ili Mambo yaende sawa, ina maana hana analolijua. Je anataka awe Rais ili afanye nini ilihali hakuna alijualo?
Hata akikujulisha ana ngoma utamgonga tu wewe, huna msimamo na wewe
Tajir ntumie namba yake
Hana Mti Mkavu! Atanigegedaje?
Amen AmenMimi ninamshauri achane na tabia za uzinzi na uasherati,na amwamini Bwana Yesu katika roho na kweli naye atashinda dhambi hiyo
anakugegeda akili
Endelea kufanya matumizi mabaya ya mbegu zako...ukifika msimu wa kupanda kwenye shamba lako halali usianze kulia lia sina na kulalama kuwa huna nguvu za kiume