tajirijasiri
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 2,863
- 3,854
Kuna binti mmoja, alinizoea nikamgegeda. Akasema imetokea bahati mbaya, na eti anayeampendae. Nikakaa mbali nae. Siku kadhaa tukakutana, kajiingiza kingi nikamgegeda tena.
Akaahidi, hiyo itakuwa mwisho sababu anae wake ampendae na mimi niendelee na mwingine. Nikamuelewa nikaacha hata kuchati nae. Another day kanitext mwenyewe.
Kwenye text anadai mimi niendelee kuwa rafiki yake, eti ana miss urafiki wangu kwake ili hali ana bwana. Sasa huo urafiki urafiki gani mbona unanitatiza? Simuelewi simsomi huyu binti.
Wenye mawazo nisaidieni
Akaahidi, hiyo itakuwa mwisho sababu anae wake ampendae na mimi niendelee na mwingine. Nikamuelewa nikaacha hata kuchati nae. Another day kanitext mwenyewe.
Kwenye text anadai mimi niendelee kuwa rafiki yake, eti ana miss urafiki wangu kwake ili hali ana bwana. Sasa huo urafiki urafiki gani mbona unanitatiza? Simuelewi simsomi huyu binti.
Wenye mawazo nisaidieni