Umenofanya nicheke sana eti "unyevu"Mi huyo niseme nataka kukuchezea ili usinipe unyevu? š¤£
Umenofanya nicheke sana eti "unyevu"Mi huyo niseme nataka kukuchezea ili usinipe unyevu? š¤£
hahahaha we jamaa kavu sanaunyevu
Kwahiyo ujibiwe lengo hapa ni kuchezeana Tu Hadi tutakapo chokana??
Mkuu umemisika, long timeMjibu, kwa sasa bado na date ila nkipata wa kuendana naye nitakaa naye.Hakuna Swali napata shida kulijibu kama hili.
Mdada(Demu), ambae nimemfuata kwa ajili ya uhusiano wa muda anaponiuliza swali hili huwa nashindwa nijibu nini.
Naogopa kumwambia ukweli, na naogopa kumwambia kitu ambacho anapenda( ndoa).
Pongezi kwa wadada(mademu) ambao huwa hawaulizi swali hili. Huwa wanajiongeza wenyewe.
Tatizo mko serious sana kuna muda na sisi hatutaki ndoa tunataka kuchezewa tu punguzeni uogaMi huyo niseme nataka kukuchezea ili usinipe unyevu? š¤£
Ndio š š šKwahiyo ujibiwe lengo hapa ni kuchezeana Tu Hadi tutakapo chokana??
Fanya tuonane tuanze kuchezeanaNdio š š š
šššššpoaFanya tuonane tuanze kuchezeana
Ukichunguza kwa makini maswali kama haya hupenda kuulizwa wale vijana ambao hawana hela lakini pia wanaonekana makanjanjaaHakuna Swali napata shida kulijibu kama hili.
Mdada(Demu), ambae nimemfuata kwa ajili ya uhusiano wa muda anaponiuliza swali hili huwa nashindwa nijibu nini.
Naogopa kumwambia ukweli, na naogopa kumwambia kitu ambacho anapenda( ndoa).
Pongezi kwa wadada(mademu) ambao huwa hawaulizi swali hili. Huwa wanajiongeza wenyewe.
Limekaa vizuri.Jibu langu hua ni hivi""Tukiwa ndan ya mahusiano ndipo tutaamua kula mmoja ana malengo gani na mwenzio, Naweza kukuona unafaa kumbe wewe hunuoni nakufaa same to you".
DONE
Hata mwenye hela kuna wakati utaulizwa tuu.Ukichunguza kwa makini maswali kama haya hupenda kuulizwa wale vijana ambao hawana hela lakini pia wanaonekana makanjanjaa
Lakini mwanaume mwenye hela zake hawezi kuulizwa swali kama hilo aiseee
Ushauri wangu kwa vijana tafuteni hela tafuteni helaa
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app