Ni commission based mkuuKwa mwezi bei gani mkuu
Namaanisha mwenye PC utamlipa au akufanyie bureNi commission based mkuu
Hii ni kazi ambayo mimi nimemuomba huyu mwenye ofisi wala hajui mambo hayo,kwahiyo mpaka aone impact
Mkuu kama una PC tuzungumze tuone italavyokua mwisho wa mwezi hatutashindwana.Namaanisha mwenye PC utamlipa au akufanyie bure
Mbona kuna makampuni huwa yanakodisha? Jaribu ku Google unaweza kupataMkuu kama una PC tuzungumze tuone italavyokua mwisho wa mwezi hatutashindwana.
Asante
Nimegugo sijapata mkuuMbona kuna makampuni huwa yanakodisha? Jaribu ku Google unaweza kupata
as long as am dead, I don't careI still repeat
No Man will be buried uncircumcised, as long as I'm still working at the mortuary
Sawa Pole sana .Vijana hamna uwaminifu ndo maana mnashindwa kusaidiwa kuna dogo nilimwazima camera akapige picha za graduation kilichofuata ni majuto nikapoteza camera dogo kauza
Mkuu wacheki ndugu zako, alienayo akuazime.... Huku sio rahisiWakuu naombeni msaada wenu jumamosi niaze kazi, mwezi mmoja tu nitakua stable
Meta ads kwenye PC ina tools nyingi tofauti na simu