Mnapongeza tu hata mkiwa wa mwisho kwa furaha duniani!Pongezi nyingi zimuendee Rais wetu kipenzi cha wanyonge John pombe magufuli kuhainga usiku na mchana angalau sisi wananchi wake tupate furaha Magufuli ni chaguo la Mungu
Mnapongeza tu hata mkiwa wa mwisho kwa furaha duniani!Pongezi nyingi zimuendee Rais wetu kipenzi cha wanyonge John pombe magufuli kuhainga usiku na mchana angalau sisi wananchi wake tupate furaha Magufuli ni chaguo la Mungu
Kwahyo hao watatu wasiokuwa na furaha ndo wamewakilisha nchi mzima?furaha itatoka wapi wakati.....
1. mhalifu anavamia kituo cha habari klauzi but anayeadhibiwa ni yule anayemdhibiti?
2. polisi wanapiga risasi zinapaa weeee, zinakata kona weeee halafu zinarudi chini tiii na kuua mtu?
3. kijana (Magoti) anayetuhumiwa kwa money laundering ya 17M anasota lupango but mtuhumiwa wa matirioni (Kangi mauno) anadunda mtaani na posho juu?
Tatizo mlizoea rushwa sanaaMiaka 5 sasa mishahara haijaongezwa hiyo furaha itoke wapi.
Watumishi hewa hiyo furaha itoke wapi?. Taarifa iko sahihi kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app