Uchaguzi 2020 Umuhimu wa uchaguzi mdogo na hatma ya upinzani kuelekea 2020

"Ushahidi siwezi kuwa nao wa kimakaratasi wa kushikika ila niliona kwa macho yangu hayo yakifanyika ila mkifanya uchunguzi huru mbona utabaini ni kweli lakini ni lini NEC imewahi kubali madai ya upinzani na kuunda tume ya kuchunguza? Kama hawajawahi kwanini mdai ushahidi kwa sisi tunaolalamika?? Kwenye makinikia tulijua tunaibiwa ila hatukua na ushahidi ndio maana tukaunda tume sasa kipi kigumu kuunda tume kama walivyoshauri wapinzani kwa miaka zaidi ya 20 sasa?? Tuache huu utaratibu wa muibua tuhuma kuleta ushahidi maana Acacia na wenyewe wangesema mlete ushahidi kabla ya tume mngesemaje?? Ingekuwa haki??"

Mkuu mbona kama unachanganganya mada hapo! huna ushahidi sasa unawezaje kupata ujasiri wa kuongea? hivi unajua issue za uchaguzi ni Sheria? na kama huna ushahidi huna haki?
 
"Ushahidi siwezi kuwa nao wa kimakaratasi wa kushikika ila niliona kwa macho yangu hayo yakifanyika ila mkifanya uchunguzi huru mbona utabaini ni kweli lakini ni lini NEC imewahi kubali madai ya upinzani na kuunda tume ya kuchunguza? Kama hawajawahi kwanini mdai ushahidi kwa sisi tunaolalamika?? Kwenye makinikia tulijua tunaibiwa ila hatukua na ushahidi ndio maana tukaunda tume sasa kipi kigumu kuunda tume kama walivyoshauri wapinzani kwa miaka zaidi ya 20 sasa?? Tuache huu utaratibu wa muibua tuhuma kuleta ushahidi maana Acacia na wenyewe wangesema mlete ushahidi kabla ya tume mngesemaje?? Ingekuwa haki??"

Mkuu mbona kama unachanganganya mada hapo! huna ushahidi sasa unawezaje kupata ujasiri wa kuongea? hivi unajua issue za uchaguzi ni Sheria? na kama huna ushahidi huna haki?
Ndio maana nikasema ushahidi kuwepo nao wagombea ndio changamoto ila matokeo ya rafu za uchaguzi ndio yapo sana tu so kwa kuwa hakuna ushahidi kwanini unaconclude kuwa hakuna rafu za uchaguzi?

Nmetoa hapo mfano wa makinikia wapinzani walishawahi sema tunaibiwa madini ila ungewauliza ushahidi wangekuwa nao?? Hata kafulila kuhusu ESCROW hakuwa na ushahidi wa kutosha hadi wakauita karatasi za kufungia maandazi. So walichofanya ni kufanya uchunguzi kupitia CAG na Takukuru,PAC n.k na pia kuhusu makinikia serikali ikaunda tume 2 ili kuchunguza ndipo ushahidi ukapatikana sasa wwe unapodai ni lazima anayetoa tuhuma awe na ushahidi na kwamba asipokuwa nao basi amepotosha is it fair??

Mkuu chaguzi za NEC zina madhaifu mengi tu na ndio maana mliambiwa muunde Tume kuchunguza hizi tuhuma hadi za kutekwa ila mnagoma alafu mkiambiwa mnahusika mnasema hatuna ushahidi??

Labda unisaidie kujibu ili swali mkuu??

1.Je bila magufuli kuunda tume ya makinikia tungekuwa na ushahidi wa kuwaframe ACACIA??? Je bila kafulila kusaidiwa na PAC kufanya uchunguzi je ungepatikana ushahidi kuwa kuna ufisadi umefanyika??

2. Je nini hatma ya wagombea wanaoona uhuni umefanyika rafu ila hawana uwezo wa kuagiza tume kuundwa kuchunguza kuhusu tuhuma hizo??

NB: Ushahidi upo siku zote ila challenge ni lazima utafutwe hivyo tusiseme ushahidi hakuna bali tuseme ushahidi haujawa accessed sababu wanaolalamika hawana ACCESS ya kupata taarifa muhimu za zoezi zima la uchaguzi be it nyaraka,mawasiliano,vikao etc hilo tuzingatie.
 
Kafulila alikuwa nazo mbona hakutangazwa?? Kesi zina mlolongo wake na pia ushahidi wanaokuwa nao wagombea ni mdogo sana ili kuifanya korti kutengua matokeo..... Ndio maana nikasuggest huu mtindo wa wagombea kusaka ushahidi sio suluhisho bali kiwepo kitengo maalum either NEC huko au polisi ambacho ndio kipewe kazi ya kusaka ushahidi maana wagombea hawawezi kuwa na access na nyaraka zite nyeti za tume ila hicho chombo cha uchunguzi kinaweza kuingia hta kwenye mawasiliano ya hao viongozi wa NEC ili kama kuna madai kwamba wanapokea maelekezo ya CCM itajulikana huko ila mkiwa mnaletewa tuhuma kama hizi then mna conclude kuwa twende mahakamani ilihali mnajua wagombea hawana ushahidi wa kutosha ni kuhadaa watu kuwa watapata haki mahakamani

Wagombea wana access na nyaraka zote za matokeo kwa kuwa kila nyaraka inatakiwa kuwa na saivi ya wakala. Kama mgombea ameibiwa kweli kura kwa njia ya kujumlisha akienda mahakamani anapata haki yake.

Tatizo CDM propaganda na uzushi mwingi kiasi kwamba imefikia hatua lawama zao zinapuuzwa. Wewe unapata kura 3000, CCM wanapata kura 65000 halafu unasema umeibiwa? Mwenye akili timamu atakudharau tu.
 
Wagombea wana access na nyaraka zote za matokeo kwa kuwa kila nyaraka inatakiwa kuwa na saivi ya wakala. Kama mgombea ameibiwa kweli kura kwa njia ya kujumlisha akienda mahakamani anapata haki yake.

Tatizo CDM propaganda na uzushi mwingi kiasi kwamba imefikia hatua lawama zao zinapuuzwa. Wewe unapata kura 3000, CCM wanapata kura 65000 halafu unasema umeibiwa? Mwenye akili timamu atakudharau tu.
Mbona huelewi hoja yangu nachosema mtu akilalamika huwezi mdai ushahidi ilihali hana nyaraka zote za ushahidi mfano minutes za vikao vya wasimamizi, mawasiliano ambayo wasimamizi wamefanya na wagombea au viongozi wa serikali wanaotoa maelekezo sasa mfano CHADEMA wakisema kuwa masanduku yalibadilishwa atawezaje kuthibitisha hilo mahakamani bila kuwa ma hizo vithibitisho ila kama chombo kingekuwa kinafanya uchunguzi kama kamati ya makinikia ambao walipewa access ya nyaraka zote muhimu ndipo mwisho wa siku wakafikia kujua ukweli sasa mfano ungemuuliza magufuli akupe ushahidi kuwa Acacia ni wezi angeutoa wapi kabla ya kuunda kamati???

Kuhusu hizo kura cjui 65,000 kuna maeneo mawakala walizuiwa kuingia na wengine kuruhusiwa baadae sana sasa kwa mazingira hayo hutegemei kuna kura ziliongezwa??? Ndio maana nikasema sio kila malalamiko ni propaganda kwanini msiunde kamati kama walivyoomba bungeni ichunguze huu uhuni ili tujue kama ni propaganda au ni ukweli??

Ila hii tabia ya kusema nenda mahakamani ilihali unajua hawana ushahidi wa kutosha unategemea haki itapatikana??
 
Mbona huelewi hoja yangu nachosema mtu akilalamika huwezi mdai ushahidi ilihali hana nyaraka zote za ushahidi mfano minutes za vikao vya wasimamizi, mawasiliano ambayo wasimamizi wamefanya na wagombea au viongozi wa serikali wanaotoa maelekezo sasa mfano CHADEMA wakisema kuwa masanduku yalibadilishwa atawezaje kuthibitisha hilo mahakamani bila kuwa ma hizo vithibitisho ila kama chombo kingekuwa kinafanya uchunguzi kama kamati ya makinikia ambao walipewa access ya nyaraka zote muhimu ndipo mwisho wa siku wakafikia kujua ukweli sasa mfano ungemuuliza magufuli akupe ushahidi kuwa Acacia ni wezi angeutoa wapi kabla ya kuunda kamati???

Kuhusu hizo kura cjui 65,000 kuna maeneo mawakala walizuiwa kuingia na wengine kuruhusiwa baadae sana sasa kwa mazingira hayo hutegemei kuna kura ziliongezwa??? Ndio maana nikasema sio kila malalamiko ni propaganda kwanini msiunde kamati kama walivyoomba bungeni ichunguze huu uhuni ili tujue kama ni propaganda au ni ukweli??

Ila hii tabia ya kusema nenda mahakamani ilihali unajua hawana ushahidi wa kutosha unategemea haki itapatikana??

Ulalamike umeibiwa wewe, hauna kithibitisho zaidi ya maneno tupu halafu kesi wapeleke mahakamani polisi, utakuta na Polisi pia mmeshatoka kuwatukana hapo. Hii demokrasia mnayolilia haipo duniani kokote.

Sehemu zote duniani, kesi za kuibiwa ushindi zinafunguliwa na mgombea au mpiga kura wa eneo husika na sio polisi. Hoja yako ni dhaifu.
 
Mbona huelewi hoja yangu nachosema mtu akilalamika huwezi mdai ushahidi ilihali hana nyaraka zote za ushahidi mfano minutes za vikao vya wasimamizi, mawasiliano ambayo wasimamizi wamefanya na wagombea au viongozi wa serikali wanaotoa maelekezo sasa mfano CHADEMA wakisema kuwa masanduku yalibadilishwa atawezaje kuthibitisha hilo mahakamani bila kuwa ma hizo vithibitisho ila kama chombo kingekuwa kinafanya uchunguzi kama kamati ya makinikia ambao walipewa access ya nyaraka zote muhimu ndipo mwisho wa siku wakafikia kujua ukweli sasa mfano ungemuuliza magufuli akupe ushahidi kuwa Acacia ni wezi angeutoa wapi kabla ya kuunda kamati???

Kuhusu hizo kura cjui 65,000 kuna maeneo mawakala walizuiwa kuingia na wengine kuruhusiwa baadae sana sasa kwa mazingira hayo hutegemei kuna kura ziliongezwa??? Ndio maana nikasema sio kila malalamiko ni propaganda kwanini msiunde kamati kama walivyoomba bungeni ichunguze huu uhuni ili tujue kama ni propaganda au ni ukweli??

Ila hii tabia ya kusema nenda mahakamani ilihali unajua hawana ushahidi wa kutosha unategemea haki itapatikana??

Hauna ushahidi sasa wewe umejuaje umeibiwa? Kitu kinachokuonyesha kuwa umeibiwa ni ushahidi sasa hata kama wewe mlalamikaja huna ushahidi hicho unacholalamika umekitolea wapi ? Maneno ya kuambiwa na wapambe?
 
Hauna ushahidi sasa wewe umejuaje umeibiwa? Kitu kinachokuonyesha kuwa umeibiwa ni ushahidi sasa hata kama wewe mlalamikaja huna ushahidi hicho unacholalamika umekitolea wapi ? Maneno ya kuambiwa na wapambe?
Ushahidi unaweza kuwa wa kimazingira tu.... Mfano wa kwela watu wapo kituoni wanajumuisha matokeo wanaona CHADEMA anaongoza ghafla msimamizi anachelewa kutangaza mshindi eventually masanduku yakaongezwa ili CCM iongeze kura sasa hapo ndio patamu sanduku umeliona limechukuliwa je unawezaje kuthibitisha??? Sanduku limeongezwa je utawezaje kuthibtisha?? Mwisho wa siku naftali kapigwa chini jimbo likaenda CCM

Ndio nasema huo ushahidi kuwa sanduku lilibadilishwa unalitoa wapi ilihali yaliyobadilishwa yote yana serial namba moja??? Embu mtu wa situation hii anashindaje kesi mahakamani??
 
Ulalamike umeibiwa wewe, hauna kithibitisho zaidi ya maneno tupu halafu kesi wapeleke mahakamani polisi, utakuta na Polisi pia mmeshatoka kuwatukana hapo. Hii demokrasia mnayolilia haipo duniani kokote.

Sehemu zote duniani, kesi za kuibiwa ushindi zinafunguliwa na mgombea au mpiga kura wa eneo husika na sio polisi. Hoja yako ni dhaifu.
Wapi nimesema polisi afungue kesi?? Nachosema burden of proof ihame kutoka kwa mlalamikaji.... Iwepo kama ni tume au kamati whatsoever ishughulikie hizi malalamiko kwa zenyewe kufanya uchunguzi sio kumtaka mlalamikaji ndio aje na ushahidi kwa staili hii wengi wanaonewa sababu tu hawana ushahidi licha ya kwamba kweli wameonewa

Narudia tena je magufuli aliposema Acacia ni wezi ungemdai ushahidi mahakamani angeutoa wapi? Je asingekuwa nao yaani asingeunda kamati je kungehalalisha kuwa Acacia sio wezi??
 
Ushahidi unaweza kuwa wa kimazingira tu.... Mfano wa kwela watu wapo kituoni wanajumuisha matokeo wanaona CHADEMA anaongoza ghafla msimamizi anachelewa kutangaza mshindi eventually masanduku yakaongezwa ili CCM iongeze kura sasa hapo ndio patamu sanduku umeliona limechukuliwa je unawezaje kuthibitisha??? Sanduku limeongezwa je utawezaje kuthibtisha?? Mwisho wa siku naftali kapigwa chini jimbo likaenda CCM

Ndio nasema huo ushahidi kuwa sanduku lilibadilishwa unalitoa wapi ilihali yaliyobadilishwa yote yana serial namba moja??? Embu mtu wa situation hii anashindaje kesi mahakamani??

Kura zinaanza kuhesabiwa kwenye vituo, kwenye halmashauri zitahesabiwa tena kama tu mgombea mmoja hataridhiki na matokeo. Kama ikitokea umechakachuliwa kwenye halmashauri una makaratasi yako ni ushahidi tosha man utashinda mahakamani.

Tukubali ukweli, mwanasiasa akishindwa haamini kama ameshindwa atajaribu kutupia lawama kwingine. Ni kama matokeo ya Monduli mfano, CDM 3000 na CCM 65,000 hapa umeibiwa vipi kweli, hamna hata kata moja uliyo ongoza, umeibiwa vipi hapo ?
 
Wapi nimesema polisi afungue kesi?? Nachosema burden of proof ihame kutoka kwa mlalamikaji.... Iwepo kama ni tume au kamati whatsoever ishughulikie hizi malalamiko kwa zenyewe kufanya uchunguzi sio kumtaka mlalamikaji ndio aje na ushahidi kwa staili hii wengi wanaonewa sababu tu hawana ushahidi licha ya kwamba kweli wameonewa

Narudia tena je magufuli aliposema Acacia ni wezi ungemdai ushahidi mahakamani angeutoa wapi? Je asingekuwa nao yaani asingeunda kamati je kungehalalisha kuwa Acacia sio wezi??

Hauwezi kusema ni wezi hadi uwe na ushahidi, hiyo ndio system dunia nzima. Mwenye nguvu ya kupeleka kesi mahakamani ni mgombea au mpiga kura kuanzisha makamati mengine ila kuwaridhisha tu wanasiasa ni upotevu wa pesa. Kama huna ushahidi tulia, ambaye yupo makini na akaibiwa atakuwa na ushahidi tu.
 
Hauwezi kusema ni wezi hadi uwe na ushahidi, hiyo ndio system dunia nzima. Mwenye nguvu ya kupeleka kesi mahakamani ni mgombea au mpiga kura kuanzisha makamati mengine ila kuwaridhisha tu wanasiasa ni upotevu wa pesa. Kama huna ushahidi tulia, ambaye yupo makini na akaibiwa atakuwa na ushahidi tu.
Vyama vya upinzani havitaki kujitathmini na kukubali ukweli juu ya Mapungufu na matatizo waliyonayo. CCM hupata wasaa wa kujipitia na kusahihisha kasoro zake, jambo ambalo ni gumu kwa wenzetu, Angalia ushiriki wao katika masuala yanayoliunganisha taifa, Leo Mbunge wa UKEREWE akihama watasema kanunuliwa, Msiba mzito umelikumba jimbo ambalo wao ndo wanaliongoza lakini hata kusema kiongozi wa kitaifa na wabunge kadhaa wakawape pole wapiga kura wao hamnaaaa, wao wanafikiri wananchi hawaoni na kupima matendo ya viongozi wa pande zote mbili wasipobadilika upinzani utabaki jina tu
 
Hauwezi kusema ni wezi hadi uwe na ushahidi, hiyo ndio system dunia nzima. Mwenye nguvu ya kupeleka kesi mahakamani ni mgombea au mpiga kura kuanzisha makamati mengine ila kuwaridhisha tu wanasiasa ni upotevu wa pesa. Kama huna ushahidi tulia, ambaye yupo makini na akaibiwa atakuwa na ushahidi tu.
Na hili sio geni kwani mara ngapi tumeshuhudia Mgombea ambaye hakuridhika na matokeo na mwenendo mzima wa uchaguzi akifungua kesi mahakamani na ushahidi wake mahakama ikijiridhisha inabatilisha matokeo na kurudia uchaguzi.
Unachomwambia ni sahihi na ndo taratibu za chaguzi dunia nzima
 
Vyama vya upinzani havitaki kujitathmini na kukubali ukweli juu ya Mapungufu na matatizo waliyonayo. CCM hupata wasaa wa kujipitia na kusahihisha kasoro zake, jambo ambalo ni gumu kwa wenzetu, Angalia ushiriki wao katika masuala yanayoliunganisha taifa, Leo Mbunge wa UKEREWE akihama watasema kanunuliwa, Msiba mzito umelikumba jimbo ambalo wao ndo wanaliongoza lakini hata kusema kiongozi wa kitaifa na wabunge kadhaa wakawape pole wapiga kura wao hamnaaaa, wao wanafikiri wananchi hawaoni na kupima matendo ya viongozi wa pande zote mbili wasipobadilika upinzani utabaki jina tu

Ukweli ni jimbo la Ukerewe wameshalipoteza kwa sababu ya dharau zao. Wanatoa majibu ya dharau na kejeli, wenyewe wanaamini CDM inapendwa tu kumbe kilichopendwa ni yale matendo ya CDM. Acha CDM idondoke tutaanza upya kujenga chama kingine cha upinzani bora zaidi.
 
Na hili sio geni kwani mara ngapi tumeshuhudia Mgombea ambaye hakuridhika na matokeo na mwenendo mzima wa uchaguzi akifungua kesi mahakamani na ushahidi wake mahakama ikijiridhisha inabatilisha matokeo na kurudia uchaguzi.
Unachomwambia ni sahihi na ndo taratibu za chaguzi dunia nzima

Yeye anataka mwanasiasa tu aropoke ameibiwa halafu iwe jukumu la idara ya serikali tena kuanza kutafuta umeibiwa wapi. Si majimbo yote yatakuwa na kesi za uchaguzi kwa mtindo huo, hawa jamaa hawapo serious kabisa.
 
Kura zinaanza kuhesabiwa kwenye vituo, kwenye halmashauri zitahesabiwa tena kama tu mgombea mmoja hataridhiki na matokeo. Kama ikitokea umechakachuliwa kwenye halmashauri una makaratasi yako ni ushahidi tosha man utashinda mahakamani.

Tukubali ukweli, mwanasiasa akishindwa haamini kama ameshindwa atajaribu kutupia lawama kwingine. Ni kama matokeo ya Monduli mfano, CDM 3000 na CCM 65,000 hapa umeibiwa vipi kweli, hamna hata kata moja uliyo ongoza, umeibiwa vipi hapo ?
Mkuu mbona huelewi wizi unaanzia kwenye masanduku.... Kuna mengine yanaingizwa yakiwa yameshapigiwa kura na kuna mengine yanapunguzwa hasa maeneo ambayo wanaojua kuna upinzani mkubwa..... Sasa kwa staili hiyo hata mkihesabu mara 100 utaongozaje kata hata moja???

Ndio maana nikasema badala ya kusema ni propaganda kwanini huwa mnagoma kufanyia uchunguzi malalamiko yao?? Wote tumeona jinsi mawakala wa upinzani walivyozuiwa kuingia vituoni sasa unategemea huo muda atawezaje kumonitor zoezi la upigaji kura?? Akisema mmeiba atakosea?? Je kisa hana ushahidi ndio wizi unakua haujatokea??

Nilichouliza bado hujajibu je kwakuwa magufuli hakuwa na ushahidi juu ya wizi wa Acacia mpaka alipounda kamati ichunguze ina maana Acacia walikuwa hawatuibii kisa tu hatukuwa na ushahidi???
 
Hauwezi kusema ni wezi hadi uwe na ushahidi, hiyo ndio system dunia nzima. Mwenye nguvu ya kupeleka kesi mahakamani ni mgombea au mpiga kura kuanzisha makamati mengine ila kuwaridhisha tu wanasiasa ni upotevu wa pesa. Kama huna ushahidi tulia, ambaye yupo makini na akaibiwa atakuwa na ushahidi tu.
Sasa kafulila aliposema Escrow kuna wizi alikuwa na ushahidi wa kutosha?? Si ushahidi ulikuja baada ya CAG kuchunguza sasa na nyie kwanini mnalazimisha burden of proof iwe kwa mlalamikaji?? Kwanini kusiwe na kitengo kinapokea malalamiko na kinachunguza?? Huoni itapunguza malalamiko maana uchunguzi utakuwa na majibu yote kama uchaguzi ni halali au lah kuliko hivi sasa unaibiwa alafu unaambiwa nenda mahakamani ambapo wanajua huna ushahidi wa kutosha hivyo utapigwa asubuhi tu..... Haki itatendeka kwa mazingira hayo??
 
Yeye anataka mwanasiasa tu aropoke ameibiwa halafu iwe jukumu la idara ya serikali tena kuanza kutafuta umeibiwa wapi. Si majimbo yote yatakuwa na kesi za uchaguzi kwa mtindo huo, hawa jamaa hawapo serious kabisa.
Mkuu hayo mambo yapo hata mashuleni mtu ukihisi hujaridhika na matokeo ya mtihani wako una appeal unashahishwa upya haijalishi una ushahidi kuwe ulishaishiwa vibaya au lah..... Kama shule tu kuna mitihani maelfu wanafanya hivyo na ni kila semester je shida ni nini kwa uchaguzi unaochukua miaka 5 pekee???

Nauliza tena hujajibu bado....magufuli bila kamati yake kuchunguza je angejuaje anaibiwa makinikia?? Kwanini malalamiko haya msichunguze kujiridhisha kama kuna ukweli au lah
 
Vyama vya upinzani havitaki kujitathmini na kukubali ukweli juu ya Mapungufu na matatizo waliyonayo. CCM hupata wasaa wa kujipitia na kusahihisha kasoro zake, jambo ambalo ni gumu kwa wenzetu, Angalia ushiriki wao katika masuala yanayoliunganisha taifa, Leo Mbunge wa UKEREWE akihama watasema kanunuliwa, Msiba mzito umelikumba jimbo ambalo wao ndo wanaliongoza lakini hata kusema kiongozi wa kitaifa na wabunge kadhaa wakawape pole wapiga kura wao hamnaaaa, wao wanafikiri wananchi hawaoni na kupima matendo ya viongozi wa pande zote mbili wasipobadilika upinzani utabaki jina tu
Wajitathmini kwa kupitia chaguzi zipi?? Sasa kweli mtu utajitathmini kama umeanguka ilihalin uchaguzi ulikuwa na rafu nyingi?? Kama mnataka wapinzani wajitathmini mfanye chaguzi za huru na haki alafu muwashinde wazi kabisa kama mnavyofanyaga mikoa ya dodoma na tabora alafu uone kama kuna mpinzani atatoa povu...... Maana hatokua na kisingizio cha kushindwa ila kwa chaguzi za cku hizi ambazo nguvu kubwa hutumika unategemea ndio kipimo cha upinzani kukubalika au lah???
 
Na hili sio geni kwani mara ngapi tumeshuhudia Mgombea ambaye hakuridhika na matokeo na mwenendo mzima wa uchaguzi akifungua kesi mahakamani na ushahidi wake mahakama ikijiridhisha inabatilisha matokeo na kurudia uchaguzi.
Unachomwambia ni sahihi na ndo taratibu za chaguzi dunia nzima
Sina shida na kesi.... Shida ni ushahidi mara nyingi ushahidi huwa limited sana kuwezs kuifanya mahakama kubatili matokeo

Mfano kafulila alikuwa na matokeo ya vituo vya kuhesabia kura ila alikosa matokeo ya vituo 3 pekee na ndio ilimcost mahakamani sasa kwa staili hiyo unategemea haki itatendeka... Ila laiti kungekuwa na kamati maalum kafulila angeenda huko then wafanye uchunguzi wa kufa mtu lazima hizo tokeo za vituo 3 yangepatikana na haki yake angeipata sio kwa sasa ambapo mfungua kesi ndio athibitishe hii ni changamoto hasa kwa chaguzi zetu ambazo ni manual sana tofauti na za wenzetu wa magharibi ambazo ni elektroniki hivyo ni rahisi kutrace kila kura na nyaraka.
 
Wajitathmini kwa kupitia chaguzi zipi?? Sasa kweli mtu utajitathmini kama umeanguka ilihalin uchaguzi ulikuwa na rafu nyingi?? Kama mnataka wapinzani wajitathmini mfanye chaguzi za huru na haki alafu muwashinde wazi kabisa kama mnavyofanyaga mikoa ya dodoma na tabora alafu uone kama kuna mpinzani atatoa povu...... Maana hatokua na kisingizio cha kushindwa ila kwa chaguzi za cku hizi ambazo nguvu kubwa hutumika unategemea ndio kipimo cha upinzani kukubalika au lah???
Kama kuna rafu wakafungue kesi, mbona ni jambo la wazi na mahakama zimewahi kufuta Chaguzi zilizobainika kuwa na Dosari.
Wapinzani wabadilike na ninaposema wajitathimini sio uchaguzi tu, Dunia hapa ni mpumbavu pekee atakayekubali kukusikiliza au kukusaidia ili hali umetoka kumtukana dakika 3.zilizopita
Wapinzani huwa wanatukana wanaccm, hata humu Jf mnatumia lugha zisizo na staha afu mnataka katiba mpya mnataka tume huru ambavyo ili mchakato wake uanze serikali inayoongozwa na ccm ikubali, Bunge Majority ni CCM mnawatukana mtafanikiwa vipi?
Dhifa za kitaifa hata mkialikwa hamji mmesusa hii aina ya siasa itawagharimu sana. To win your enemy's let them become your friends
 
Back
Top Bottom