Uzime usizime simu ilipangwa hivyo pindi tu tangu uzaliwe. Kwa iyo siyo eti kwasabab usizime simu usiku. Hata huko kuzima simu usiku na gari kupaki na kuwasha taa ilishapangwa long time time pindi tu ulipozaliwa. Chochote ufanyacho kilipangwa. Hata wewe kuandika hii sreedi leo ilishapangwa long time.Salaam wana jukwaa,Kuna hii tabia ya kuzima simu usiku mwa kuepuka usumbufu wa calls na sms.
Je ulishawahi kuzima simu usiku then ukajutia?tujitahidi kuacha simu zetu on kila wakati.
Mimi Kuna siku nilizima simu usiku then nikalala,kumbe usiku wa Kama saa sita Kuna gari ilikuja ikapaki barabarani,karibu na nyumba yangu,(Mimi naishi pembezoni mwa barabara,Tena kilimani).
Sasa majirani zangu wanaokaa bondeni kidogo wakaiona ile gari,imewasha taa,Ila haiondoki.wakajaribu kunipigia wakakuta simu iko off.Ashukuriwe Mungu baada ya muda gari ikaondoka.
Asubuhi ndo wananiuliza kwa Nini ulizima simu?
Km wenye gari walikuwa na lengo baya ungesaidikaje??
Nami nikajifunza kitu,ikiwezekana acha simu yako on usiku.
Kazi iendelee.
Sawa mkuuu,sibishi neno,Ila simu ikiwa on waweza msaidia mtu usiku au ukasaidika piaUzime usizime simu ilipangwa hivyo pindi tu tangu uzaliwe. Kwa iyo siyo eti kwasabab usizime simu usiku. Hata huko kuzima simu usiku na gari kupaki na kuwasha taa ilishapangwa long time. Chochote ufanyacho kilipangwa. Hata wewe kuandika hii sreedi leo ilishapangwa long time.
Tafuta pesa wewe achana na MajiraniSalaam wana jukwaa,Kuna hii tabia ya kuzima simu usiku mwa kuepuka usumbufu wa calls na sms.
Je, ulishawahi kuzima simu usiku then ukajutia? Tujitahidi kuacha simu zetu on kila wakati.
Mimi Kuna siku nilizima simu usiku then nikalala,kumbe usiku wa Kama saa sita Kuna gari ilikuja ikapaki barabarani,karibu na nyumba yangu,(Mimi naishi pembezoni mwa barabara,Tena kilimani).
Sasa majirani zangu wanaokaa bondeni kidogo wakaiona ile gari,imewasha taa,Ila haiondoki wakajaribu kunipigia wakakuta simu iko off.
Ashukuriwe Mungu baada ya muda gari ikaondoka.
Asubuhi ndo wananiuliza kwanini ulizima simu?
Km wenye gari walikuwa na lengo baya ungesaidikaje?
Nami nikajifunza kitu,ikiwezekana acha simu yako on usiku.
Kazi iendelee.