Umuhimu wa kuhonga katika mapenzi

Ila ukitaka kuenjoi inabidi kuhonga vyote vyote.

Kahela kidogo, na ka asset kidogo, hapo mtoto mzuri hachomoki.
Ukitaka kummaliza honga vyote, Kahela kidogo, na ka asset kidogo kama kajumba vile, vifenicha, ka-TV, Kafriji, Kagari na kahela ka -kumalizia kadegree kake hapo umemaliza, hata akitaka kuolewa na mtu mwingine ni lazima wewe ndiye utakuwa Mshenga.
 
Hi I mada itabidi nimpelekee nanihii nae ajifunze kuhonga
 
Asante kwa huu uzi, mwenzenu nina maradhi ya kuhonga (hongariasis), yaani nahonga karibia kila siku, wengine siwajui nahonga tu. Kumebarikiwa kuhonga.
Mhhhhhhhh
'Ndio walewale' [emoji126][emoji126][emoji126]
 
yaani mwanaume anayenipa hela namuheshimu kupita maelezo, yaani namuheshimu hadi naogopa. wacha pesa iitwe pesa bwana.
I love it, so if you have it basi i'll love you.
Unaachaje kumheshimu kwa mfano?
Mimi nanyenyekea kabisaaaa.
 
Ukitaka kummaliza honga vyote, Kahela kidogo, na ka asset kidogo kama kajumba vile, vifenicha, ka-TV, Kafriji, Kagari na kahela ka -kumalizia kadegree kake hapo umemaliza, hata akitaka kuolewa na mtu mwingine ni lazima wewe ndiye utakuwa Mshenga.

[emoji39][emoji39][emoji39]
 
jaman ni kama majukumu ya mama kwenye familia ni natural baba anasaidia etiii! akitupia ha vocha ya 5000/ kuna kaladha flan.
Majukumu yapi zaidi ya kupanga matumizi na kutumia kilichotolewa na Baba kama hali ukiruhusu Mama anachangia lakini sio lazima na sio wajibu wake maana siku Baba anamwoa alijiona yuko tayari kutunza familia.
 
Majukumu yapi zaidi ya kupanga matumizi na kutumia kilichotolewa na Baba kama hali ukiruhusu Mama anachangia lakini sio lazima na sio wajibu wake maana siku Baba anamwoa alijiona yuko tayari kutunza familia.
Yani unauliza na kujipa majibu hapohapo!
 
Naomba mshtue Heaven Sent mwambie naomba anionee kahuruma dear, ila mwambie kuwa mimi ni masikini sana!
Khaa jamani kwa hiyo wewe unahisi huwezi kupendwa kabisa, bali unaonewa tu huruma? Unadhani kila mwanaume anayependwa ni anahonga?
Kisa cha mimi kujikatia tamaa kiasi hicho ni kwamba mimi ni masikini sana!
 

TUMIA LUGHA TOFAUTI BASI, SEMA KUMHUDUMIA, UKISHASEMA KUHONGA UNAHARIBU, HONGO INA MAANA MBAYA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…