Mahakama ya hakimu mkazi kisutu imemhukumu kwenda jela miaka 4 au kulipa faini ya tsh mil 12 aliyekuwa mkurugenzi wa mamlaka ya viwanja vya ndege Tanzania David Mattaka na wenzie kwa kosa la matumizi mabaya ya madaraka, kughushi nyaraka na kuisababishia serikali hasara ya tsh bil 71.
Huu ni ujuha na matokeo ya rushwa katika mihimili ya haki
Huu ni ujuha na matokeo ya rushwa katika mihimili ya haki