Umuhimu wa Cheti cha ndoa

Umuhimu wa Cheti cha ndoa

HAKUNA TOFAUTI.
Mashirika ya dini hupata vyeti kutoka serikalini ili wafungishe waumini wao.
Pana ufafanuz umetolewa humu jamvin kuwa waislam wanavyo vyeti vya aina2 ... bakwata na serikali
 
Mm nakumbuka tulivyogaiwa tukagawana kila mtu na chake ngoja nikitafute ata sikumbuki nilipoweka
 
Back
Top Bottom