Umuhimu wa Cheti cha ndoa

Umuhimu wa Cheti cha ndoa

Ninacho cha dini kinatosha,nakithamini sana
 
Cha serikali ndo muhimu zaidi coz ndo kinachotambuliwa na serikali kwa masuala mbalimbali ya kisheria na kiserikali
Utofauti wake ni upi ? .... je pana mambo ambayo hufanyika kwenye hcho cha serikali na hayapo kwenye cha dini?
 
Utofauti wake ni upi ? .... je pana mambo ambayo hufanyika kwenye hcho cha serikali na hayapo kwenye cha dini?
Utofauti ni kwamba kupitia cheti cha serikali ndoa yenu ndio inakuwa inatambuliwa kiserikali hata maofisini kwenye stahiki mbalimbali ndicho kinachotakiwa regardless mmefungia ndoa kanisani ama msikitini...kwa upande wa wakristo nnavyosikia wanapewa direct cha serikali but kwa muslims una chagua kama upate cha dini au cha serikali....experience matters
 
Why hicho cha dini hasa kwa muslims kisiboreshwe kama kuna haja hiyo ili nacho kiwe rasmi kutumika kiserikali?
 
Mi ninacho cheti cha ndoa cha dini. Naomba kujua kama kuna umuhimu wa kuchukua na cha serikali?
Ni muhimu kuwa na cheti cha serikali, ndicho kinachotambulika kisheria na kiutaratibu. Makanisa mengi hutoa cheti cha dini na serikali kwa pamoja ili utambulike kikanisa na kiserikali pia.
 
Umuhimu utauona pale utakapoporwa mke/mume na ushahidi huna!! Unaweza jikuta umeenda NECTA kukitafuta!!!
Sasa wewe umepokonywa
Unamwacha tu aishi maisha mema
Maana kulilia mke au mme utakuwa mmoja ya mmoja kati ya wanne tanzania
 
yesss chukua na cha serikali pia!
Mi navojua ni kuwa cheti cha dini ni kilekile cha serikali tofauti ni mfungishaji wa hiyo haruc

Kwa kuwa shehe au mchungaji au mtu yeyote yule anayefungisha ndoa lazm awe na cheti cha serikali kinachompa mamlaka na lzm akifungisha anatoa cha serikali akitoa kisichocha serikali

Atakuwa mfungishaji hewa.
 
Mi navojua ni kuwa cheti cha dini ni kilekile cha serikali tofauti ni mfungishaji wa hiyo haruc

Kwa kuwa shehe au mchungaji au mtu yeyote yule anayefungisha ndoa lazm awe na cheti cha serikali kinachompa mamlaka na lzm akifungisha anatoa cha serikali akitoa kisichocha serikali

Atakuwa mfungishaji hewa.
nooo!!waislamu wana vyeti viwili...

cha bakwata na serikalii!!
 
Back
Top Bottom