Umuhimu wa Cheti cha ndoa

Umuhimu wa Cheti cha ndoa

Mi navojua ni kuwa cheti cha dini ni kilekile cha serikali tofauti ni mfungishaji wa hiyo haruc

Kwa kuwa shehe au mchungaji au mtu yeyote yule anayefungisha ndoa lazm awe na cheti cha serikali kinachompa mamlaka na lzm akifungisha anatoa cha serikali akitoa kisichocha serikali

Atakuwa mfungishaji hewa.
" .... atakuwa mfungishaji hewa kwa hiyo ndoa hewa, wanandoa hewa, cheti cha ndoa hewa .... hii hewa kila mahali ..... Mungu tusaidie
 
katika dini hususani uislam kuna mambo kadha wa kadha yakikamilika basi ndoa inakua imekamilika lakini katika mambo hayo cheti hakimo,kwani swala la ndoa ni swala la watu wawili mwanamke na mume na muumba wao sasa swala la vyeti halina mantiki yeyote kwani wakati wa ndoa kuna mashahidi wapo waliorasmi na wapo wale walioshuhudia ambao wote waliokuwepo siku ya ndoa,tatizo ni moja serikali inasema haina dini lakini serikali hiyohiyo inawaelekeza wanadini nini cha kufanya hapo ndipo mgogoro wa kimaslah unapokuja
 
katika dini hususani uislam kuna mambo kadha wa kadha yakikamilika basi ndoa inakua imekamilika lakini katika mambo hayo cheti hakimo,kwani swala la ndoa ni swala la watu wawili mwanamke na mume na muumba wao sasa swala la vyeti halina mantiki yeyote kwani wakati wa ndoa kuna mashahidi wapo waliorasmi na wapo wale walioshuhudia ambao wote waliokuwepo siku ya ndoa,tatizo ni moja serikali inasema haina dini lakini serikali hiyohiyo inawaelekeza wanadini nini cha kufanya hapo ndipo mgogoro wa kimaslah unapokuja
Naendelea kuhabarika ....
 
nooo!!waislamu wana vyeti viwili...

cha bakwata na serikalii!!
Kama hajasajiliwa kiserikali

Inabidi utambulike na serikali

Kama ni lazima kuchukua cha kiserikali bas cha kidini kuna magumash

Kwa nn wasikitambue???
Mi navojua wachungaji mashehe wakuu wa wilaya (wasajiri wa ndoa) hutoa matangazo ya ndoa kama kawa hivyo wanatoa vyeti vya kiserikali (cha kidini kirakuwa living certificate while cha serikali ni academic certificate )

Sasa kama huna academic wewe ni feki
 
Back
Top Bottom