busy bees
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 2,249
- 1,348
Napiga hodi jamvini ..... natumai mu wazima ...
Ndoa nyingi kama c zote ziwe zilizofungwa ktk nyumba za ibada, majumbani, bomani nk huambatana na wanandoa kukabidhiwa CHETI CHA NDOA ....
Yawezekana kwa wengine likawa ni jambo la kawaida (desturi) lisilo na UMUHIMU wowote .... but frankly speaking Cheti Cha Ndoa ni muhimu tena sanaaaaa .....
Tushirikishane UZOEFU tokana na changamoto ulizokumbana nazo ama alizokumbana nazo ndugu/ rafiki/ jirani nk kwa kutokuwa na CHETI CHA NDOA .... nawasilisha
Ndoa nyingi kama c zote ziwe zilizofungwa ktk nyumba za ibada, majumbani, bomani nk huambatana na wanandoa kukabidhiwa CHETI CHA NDOA ....
Yawezekana kwa wengine likawa ni jambo la kawaida (desturi) lisilo na UMUHIMU wowote .... but frankly speaking Cheti Cha Ndoa ni muhimu tena sanaaaaa .....
Tushirikishane UZOEFU tokana na changamoto ulizokumbana nazo ama alizokumbana nazo ndugu/ rafiki/ jirani nk kwa kutokuwa na CHETI CHA NDOA .... nawasilisha