dini ni imani. dini haiihitaji uthibitisho wa kimwili na kidunia. dini kile ukiaminicho bila kulazimishwa na mtu. kwa hiyo kama wewe ni mkristo, muislam, wabuddist, waabudu satanism n.k. huitaji kuthibitishiwa kidunia ya kwamba unachokiamini ni sahihi. mfano: magaidi wanaojitoa muhanga kwa kivuli cha dini, tutawalaumu kidunia lakini kiimani wameamini wanachofanya ni sahihi. haitatokea kamwe uthibitisho wa kidunia maana dini zote zina-deal na ulimwengu wa kiroho. haitakuja kutokea uambiwe uthibitisho wa kidunia kuhusu Mungu huyu ninaye mwamini. kama unataka kuwa na dini baada ya kuthibitishiwa kisayansi, basi huelewi maana ya dini. na kwa kuwa hakuna sayansi ya kiroho, nothing will be proved scientifically. I believe in God na naamini yupo huyo tu. na imani zingine zinaamini vivyo hivyo kwa miungu yao. there is no scientific proof. and thats the whole point of a religion/belief.