Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 85,873
- 145,793
Unaweza kudhibitisha mungu hayupo?
Kwanza unafahamu tofauti ya kudhibitisha na kuthibitisha?
Pili unafahamu kudhibitisha na kuthibitisha ni nini?
Unaweza kudhibitisha mungu hayupo?
Wapi nimekwambia sijui?
Hivi unajua siku moja iliyotajwa kwenye bibilia hasa agano la kale ni sawa na siku 1000, au ndo utachanganyikiwa kabisa!mkuu kuumbwa kwa ulimwengu kutofautiana na kuumbwa kwa binadamu kwa siku zisizozidi 5!!
mbona hukunipa jibu la maan ya dhambi ?
kushindwa kujibu maana yake hujui.
Unanuaje nimeshindwa kujibu na sio kwamba sikutaka kujibu?
Wewe unajua dhambi ni nini? Unaweza kunijibu? Usiponijibu maana yake hujui jibu?
Hivi unajua siku moja iliyotajwa kwenye bibilia hasa agano la kale ni sawa na siku 1000, au ndo utachanganyikiwa kabisa!
Alisema "ikawa jioni ikawa asubuhi siku ya kwanza" kwahiyo hapa swala la miaka 1000 haliingii hapa
dhambi maana yake nini ?
Niambie wewe unayemuamini mungu anayehukumu watu kwa dhambi zao.
Au humuamini mungu huyu wewe?
kati ya mimi na wewe nani kaleta neno dhambi hapa ?
Kuleta neno si hoja.
Mungu unayemuamini anahukumu watu kwa dhambi zao au hahukumu?
hiyo dhambi ndio nini sasa ?
Wewe unaielewaje? Kwa mujibubwako mtu akikwambia neno dhambi unalielewaje?
Mungu wako anahukumu watu kwa kutenda asivyopenda au hahukumu?
niambie dhambi unailewaje ili nikusaidie maana wewe kama mgonjwa sasa umekuja kwa daktari siwezi kukuambia maana ya dhambi mpaka nipate uelewa wako kuhusu dhambi.
Kwanini unachanganyikiwa?
Sayansi na Biblia kipi kilianza?
Unaweza kujua mwanzo wa kilichoandikwa kwenye biblia?
Kwa nini mimi ndiye niwe mgonjwa?
Na kwa nini mungu mjuzi wa yote na mwenye upendo wote aumbe ulimwengu ambao unawezekana kuwepo na wagonjwa?
Ina maana alikuwa hawezi kuumba ulimwengu ambao ugonjwa hauwezekani?
Au aliweza hakutaka tu?
Acheni kubishana vitu vya kipumbavu hiyo biblia km maneno ya mungu hata page kumi hazifiki kila mwaka kinabadilishwa nakuongezwa maneno umeona wapi maneno ya mungu yakatiwa mkono mara agano jipya mara la zamani juzi tuu imetoka biblia mpya kwa kifupi biblia inamakosa uhalisia wa kitabu cha injil hakuna hata zaburi hakuna kumbukumbu
Na hao wanasayansi ndo kabisa hakuna kitu iyo biblia inaafadhali toka kuna,wanasayansi wanakwambia ulimwengu ulikuja tuu kuna wengine ndo matahira wanasema binaadamu alikuwa sokwe eti mwanasayansi huyoo mambo ya mungu muachie mungu kutaka kujua siri za mungu ukishajua ili iweje
Na baadae utaleta thread mungu yukoje,katoka wapi,anamiaka mingapi na asili gani acha uboya dogo elimu ya kumjua mungu na ulimwengu wake kwa bin adamu una mipaka yake
kwa nini wewe usiwe mgonjwa ?
nipe maana ya dhambi kwanza hayo mengine ufafanuzi ninao.
hiyo dhambi ndio nini sasa ?