MO11
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 19,553
- 41,467
Kwa nini mimi.niwe mgonjwa kama ulimwengu.ymeumbwa na mungu mwenye ypendo wote na ujuzi wote?
Ina.maana alishindwa kuumba ulimwengu ambao hauna ugonjwa?
Au aliweza akatubania tu?
hujajibu swali
dhambi ni nini ?
mambo ya upendo nitakujibu baada ya swali hili kujibiwa.