Thibitisha kwamba mungu yupo.
hivi huu ndio ushahidi wa biblia??
Hatufanani.
Na hapo ndipo logic inapokuja kusawazisha nani ana make sense na nani hana sense.
Jibu lako limefeli mtihani wa logic.
Your answer is logically inconsistent.
umejuaje mungu hayupo ??
Biblia haiwezi kuwa ushahidi, kwa sababu inajipinga yenyewe. Haina credibility.
Hujajibu swali. Swali halijasema mungu yupo au hayupo.
Limekutaka uthibitishe kwamba yupo.
Hujathibitisha.
kama hatufanani kwanini mabaya kwako na mungu ayaone mabaya ?
mbona wauwaji wanashangilia kama yangekuwa mabaya??
kwa njia ipi ?
Ya kujitosheleza kimantiki.
Mungu anatakiwa kuwa na standards za juu zaidi ya za kibinadamu, sio za chini zaidi ya kibinadamu.
Huyo mungu wenu ana standards za chini zaidi ya za kibinadamu.
Na kashindwa ku pasi mtihani wa darasa la saba wa logic.
do you speak for god? Medicine does not heal but treat. Get that fact correct. It is god who heals.
If medicine heals, why do people die after taking them?
mungu yupo nikimwomba hujibu maombi ?
hizo standard anapanga nani ?
What a gwan pinckneywhaaat?!!
Kwa nini mungu mwenye uwezo wote na upendo wote aumbe ulimwengu ambao utahitaji viumbe wake wamuombe?
Kwa nini hajaumba ulimwengu ambao mambo yanaenda vizuri tu kiasi viumbe wake hawahitaji kumuomba?
Huyu mungu ana matatizo ya kisaikolojia mpaka awe anapenda kuombwa ombwa kila wakati ilhali anaweza kutengeneza mambo yaende vizuri bila ya yeye kuombwa?
Mungu alipoumba ulimwengu aliweza kuumba usiwezekanike kuwa na mabaya au hakuweza?
kama hujaomba utapataje wakati katuagiza tuombe ?
Hata ndogo tu za kibinadamu mbona zinamshinda?
Binadamu ana morality inayokataza kuua, ukiua unafungwa jela.
Mungu angeweza kuumba ulimwengu ambao kifo hakiwezekaniki.
Badala yake kaumba ulimwengu ambao watoto wasio na hatia wanakufa kwa matetemeko ya ardhi na maradhi.
Kwa nini mungu anawabania hawa viumbe wakati uwezo wa kuwapetesha anao?
Huyu mungu kweli unaweza kusema ana upendo wote huyu?