Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,638
Umri wangu kwa sasa ni miaka 33 siku si nyingi nitakuwa 34 umri wangu kila nikijiangalia umekwenda mno kwani mpka hivi sasa
1.sina mtoto
2.sijaowa wala sina familia
3.kimaisha bado sijasimama vizuli
4.mchumba ninae ila nina wasiwasi sijui kama Kwao watamkubalia kuolewa na kijana ambae kimaisha bado hajasimama vizuli maana sina ajira na biashara zangu ndo vile za kubahatisha.
Wadau zangu naombeni ushauli presha ya umri wangu kusonga mbele huku nikiwa hakuna nilichokifanya roho huwa inaniuma.
1.sina mtoto
2.sijaowa wala sina familia
3.kimaisha bado sijasimama vizuli
4.mchumba ninae ila nina wasiwasi sijui kama Kwao watamkubalia kuolewa na kijana ambae kimaisha bado hajasimama vizuli maana sina ajira na biashara zangu ndo vile za kubahatisha.
Wadau zangu naombeni ushauli presha ya umri wangu kusonga mbele huku nikiwa hakuna nilichokifanya roho huwa inaniuma.