Umri umeenda, nataka kuoa ila kimaisha sijajipanga naombeni ushauri pa kuanzia

1. Usioe aliyekuzidi elimu
2. Usioe mke ambao kwao wapo mambo safi saaaana hutofikia her expectations atakusumbua
3. Kaoe kijijini kwenu mtoto aliyemaliza la saba au aliyeishia form three D
4. hakikisha unayemuoa unamfungulia kajigenge akusaidie maisha.
5. Huyo uliyenaye unajua ni kwa nini bado upo naye? changanya na za mbayuwayu
Kumsaidia......

Hiyo #5 ungemfafanulia kidogo usimpe codes zitazidi kumchanganya,otherwise hizo nyengine nipo pamoja na wewe.
 
Kumsaidia......

Hiyo #5 ungemfafanulia kidogo usimpe codes zitazidi kumchanganya,otherwise hizo nyengine nipo pamoja na wewe.
inawezekana kbisaaa hata huyo dada hatamani kuolewa naye sembuse wazazi? Kama huyo dada ana kijielemu lazima anaexpectations fulani za kimaisha sasa inawezekana wote ni graduates mdada anasubiri jamaa apate kazi ndo amuoe hili wazo la kumuoa bila kuwa na kazi fulani linaweza kuleta utata kwa mdada. Na je huyo mdada anakijikazi chochote? kumbuka utofauti mdogo wa kimawazo unatengeneza bomu la nyuklia ktk mahusiano.
 
Kwani mkuu biashar zako ni za kubeti?
Kama unatak kuoga kigezo kikubwa sio umri ila ni wew upo tayar kuoa na unae taka mkumuoa unazan ni mtu mtaendan nae kimaisha na kimanzingira yako .
Hivyo tuu mkuu mengine c muhm (kwa maon yangu mimi)
 
Mkuu kinachokutafuna wewe ni hizo namba 33 - 34 ambozo hazina maana yeyote na hazikusaidii chochote katika kufanikisha malengo yako.
Kwanza achana na hizo number na kisha panga mikakati yenye kutekelezeka na kuifanya bila kusita na usiogope ku take risk
Kuoa sio lazima na Kama unataka mtoto basi tafuta mwanamke au huyo mchumba wako zaa nae mishe zikikaa sawa utafunga ndoa mbeleni.
Yakubali maisha yako na yafurahie bila kuhisi umepoteza kitu na kisha endelea na ratiba yako ya kuongeza juhudi ya kutafuta siku moja utatoboa na kusahau changamoto hizi.
Usipende kujilinganisha na watu wengine kimaisha hata Kama wanakuzidi sana ila we angalia mishe zako tu.
 
Shida vijana tunaogopa sana maisha,imani yangu hili jambo kama lingepelekwa kwa watu umri umewaacha kidogo lingeshakuwa solved.

Hivi humu sisi wote tumezaliwa wazazi wetu wakiwa strong kiuchumi?tumekua kwa tabu,tumesoma kwa tabu hata watoto nimeanza kupata bado nikiwa na tabu (kama mimi binafsi) ila kadiri maisha yanavyosogea afadhali inakuja na kwa nchi kama Tanzania kusema eti subiri mpaka ufanikiwe huku umri ukikimbia huko ni kudanganyana je ikiwa bila bila mpaka 40/45 asubiri kufa bila mtoto?mleta mada pambana na ukweli wa maisha Mungu atakufungulia njia ukipata watoto.

NB;zingatia hapo juu umeshauriwa,mke asikuzidi elimu!soma hii sentence mara tatu ikukae kichwani vizuri.
 
pole sana mkuu kwa kile unachopitia, kwa sasa hebu usomi wako uweke pembeni uanze kupambana kama raia wa kawaida.

kama upo mjini tafuta kisaiti gereji ya magari/piki piki kisha weka kijimeza uanze kuuza bolt & nut na washeli zake size zote , mtaji kuanzia 30k-100k, kama utaona aibu unaeza kuajiri kijana mdogo, hiki kibiashara ni kidogo lakini kinafaida mara dufu kwa mtu mwenye mtaji wa chini, nakuhakikishia kama una malengo baada ya miezi 3-5 utaanza kutanua wigo wa biashara kwa kuleta bidhaa zingine kama mafuta ya breki, grisi, filter, oil, stick na nk... na huo ndo utakua mwanzo wa kupiga hatua kimaisha, nimekushauri kitu nilicho na ujuzi nacho, pia kama utakua na mtaji wa 500k+ utauliza bidhaa zote muhimu hitajika hapo gereji kisha unaziweka.

pia ushauri mwingine jitahidi kusali kwa imani yako maana wasomi wengi huandamwa sana na vijicho vya ndugu/majirani jambo ambalo hupelekea mambo kutokwenda sawia.
 
Angekuja wa kike mwenye 33 aseme kama wewe hana ndoa na hana uelekeo wa maisha hadi sasa tungekuwa tunakimbilia comment ya 50+ na kashfa za kutosha.....hakuna rangi asingeiona kwenye hizo comment

Life ain't fair

Endelea kupambana na maisha,hata kama umechelewa isikupe pressure ya kushindwa kuzidi kupambana na maisha
Huwezi kuchangia bila kuzusha vurugu?
 
1. Usioe aliyekuzidi elimu
2. Usioe mke ambao kwao wapo mambo safi saaaana hutofikia her expectations atakusumbua
3. Kaoe kijijini kwenu mtoto aliyemaliza la saba au aliyeishia form three D
4. hakikisha unayemuoa unamfungulia kajigenge akusaidie maisha.
5. Huyo uliyenaye unajua ni kwa nini bado upo naye? changanya na za mbayuwayu
Yumkini ndio sababu, hatoki hapo alipo pisi ipo na high expectations wakati mshikaji yupo vibaya!
 
Umri wangu kwa sasa ni miaka 33 siku si nyingi nitakuwa 34 umri wangu kila nikijiangalia umekwenda mno kwani mpka hivi sasa

1.sina mtoto

2.sijaowa wala sina familia

3.kimaisha bado sijasimama vizuli

4.mchumba ninae ila nina wasiwasi sijui kama Kwao watamkubalia kuolewa na kijana ambae kimaisha bado hajasimama vizuli maana sina ajira na biashara zangu ndo vile za kubahatisha.

Wadau zangu naombeni ushauli presha ya umri wangu kusonga mbele huku nikiwa hakuna nilichokifanya roho huwa inaniuma.

Kuna msemo usemao usimwige tembo kukata GOGO utachanika MSAMBA hapa nina maana

Kama unajiona u don’t feet for this position ni vyema ukajitoa katika mahusiano uliopo au ukamweleza ukweli Mpz wako hali yako kama atakuwa yupo tiyali kukuvumilia then it’s okey

Kama unaona mwenzio ana hamu ya ndoa na wewe kimaisha hujajipanga ni vyema ukaachia ngapi mapema unaendelea na mambo mengine

Pia kama unaona mambo hayako sawa basi tumia kipindi hiki kuweka mambo sawa kwanza kama huna ajira hakikisha unapata ajira, kama una biashara hakikisha biashara yako unaifanya Istawi vizuli

Kuoa sio kazi kazi ni kutunza familiaa
 
Umri wangu kwa sasa ni miaka 33 siku si nyingi nitakuwa 34 umri wangu kila nikijiangalia umekwenda mno kwani mpka hivi sasa

1.sina mtoto

2.sijaowa wala sina familia

3.kimaisha bado sijasimama vizuli

4.mchumba ninae ila nina wasiwasi sijui kama Kwao watamkubalia kuolewa na kijana ambae kimaisha bado hajasimama vizuli maana sina ajira na biashara zangu ndo vile za kubahatisha.

Wadau zangu naombeni ushauli presha ya umri wangu kusonga mbele huku nikiwa hakuna nilichokifanya roho huwa inaniuma.
Za kubet
 
Back
Top Bottom