Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,638
Wakuu naombeni ushauri, mpenzi ananilalamikia umri wake umeenda sana mpaka sasa hana mtoto hana familia hajaolewa hivyo anahitaji tutengeneze familia na pia nijiandae swala la ndoa
Nikijiangalia kimaisha bado sijasimama vizuri kuendesha familia, kutoa mahari kwao na mambo mengine kuyaweka sawa ,,,,
Hela zangu mie mwenyewe ni za kubahatisha sina kipato maalumu
Naombeni ushauri wandugu hili jambo likae sawa
Nikijiangalia kimaisha bado sijasimama vizuri kuendesha familia, kutoa mahari kwao na mambo mengine kuyaweka sawa ,,,,
Hela zangu mie mwenyewe ni za kubahatisha sina kipato maalumu
Naombeni ushauri wandugu hili jambo likae sawa