jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 5,710
- 7,601
Huyo Muwoga wa Maisha na ana ndoto za alinacha ndiyo maana atachelewa sana asipo iishi uhalisia wake!!Kama mchumba unae kwanini usimzalishe? Vijana siku hizi akiona hakueleweki anamzalisha binti hlf kubariki ndoa inakuja badaye, sasa wew unataka ufunge ndoa kama mtoto wa Kimei! Shaur yako
Au unataka ujenge nyumba ya milion 200 ndy useme utakubalika?
Unatakiwa uanze hapo hapo ulipo