Umri miaka 29 Sina mke Wala mtoto

Umri miaka 29 Sina mke Wala mtoto

Mimi na umri wangu nilionao sasa wa miaka72 nimekuja kuoa na kupata mtoto wa kwanza nikiwa na miaka 47 na sasa mtoto wangu wa kwanza ana miaka 25 na amemaliza degree chuo kikuu Dodoma. Unawahi wapi kijana? Piga nyeto kupoza hicho kichwa.
 
Mimi na umri wangu nilionao sasa wa miaka72 nimekuja kuoa na kupata mtoto wa kwanza nikiwa na miaka 47 na sasa mtoto wangu wa kwanza ana miaka 25 na amemaliza degree chuo kikuu Dodoma. Unawahi wapi kijana? Piga nyeto kupoza hicho kichwa.
DUh humu ndani mnatupanga sana we bibi wa miaka 72 hivi mnatuona kama matrako yenu et🤔
 
Sasa tufanyeje mkuu ,,,,,December 50, hapa nipo kwa dingi tunagombania remote sebuleni !
Sio kweli japo mimi Nina chumba changu cha nje na vitu vyangu vya ndani full kabisa ma tv bufa sepeano dish ya azam na vyombo vya kupikia ges kitanda

Lakini we uwezi ishi maisha ya namna hiyo kwanza umri wako sidhani kama baba yako bado anguvu za kufanya kazi alete helq we umekaa TU auna watoto aujawai kuoa ebu nipe abc zako mkuu!!
 
Mbona wewe bado mdogo kabisa kuna mtu namjua ana miaka 38 sasa hivi na hana mke na huo mpango wa kuoa nahisi hana kwasasa
 
Mimi na umri wangu nilionao sasa wa miaka72 nimekuja kuoa na kupata mtoto wa kwanza nikiwa na miaka 47 na sasa mtoto wangu wa kwanza ana miaka 25 na amemaliza degree chuo kikuu Dodoma. Unawahi wapi kijana? Piga nyeto kupoza hicho kichwa.
Au umekosea kulogout uende kwenye ID nyingne??
 
IQ yako ni ndogo Sana kijana, badala utafute hela unawaza K, nilipofikisha 1mil USD at 40yrs old niliitisha interview ya kutafuta mke walijitokeza walimbende zaidi ya 500 kwenye isahili. Hivyo tafuta hela. Usioe mwanamke asie type yako kisa hauna hela Bora usioe kabisa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom