Umri miaka 29 Sina mke Wala mtoto

Umri miaka 29 Sina mke Wala mtoto

IQ yako ni ndogo Sana kijana, badala utafute hela unawaza K, nilipofikisha 1mil USD at 40yrs old niliitisha interview ya kutafuta mke walijitokeza walimbende zaidi ya 500 kwenye isahili. Hivyo tafuta hela. Usioe mwanamke asie type yako kisa hauna hela Bora usioe kabisa.
Wewe ni MO brother!👏
 
Sometimes anza kufuata ushauri unaowapaga wengine kuhusu watot na familia. Unachumba unaweza lipa kodi unakipatao ata 200k nenda kijijini vuta mchumba kaa nae mzalishe maisha ndo haya haya
 
Kama mnavyoona kichwa Cha habar hapo Sina mke Wala mtoto na hapa bado sielew nawaza juu hili
1755593158981.jpeg
 
Miaka 29 mbona bado unataka uwahi mkuu. Mimi nina 28 yaani nitulia sana. Ukiwa na pressure utaoa TAPELI.

Kuwa mtulivu take your time upate mwanamke wa maana kama bado huna.
 
Wewe unaongea nini wewe? 29? Watu tuna 38 na hatuna mpango wa kuoa.
Kuoa ni kifo,ni hatari na nusu
 
Nashukuru Kwa hilo nikiangalia umri unavyoenda na Bado cielew na nikiangalia washikaji wanaoa na watoto najiona nachelewa sana
Hahahaa hakuna kitu kinaitwa kuchelewa ktk maisha ukiwa mwanaume, kuna sababu ya msingi kwa nini unaweza kupata watoto hata ukiwa na miaka zaidi ya 70.

Marehemu Mzee Reginald Mengi alipata watoto wa mwisho mapacha akiwa na miaka 70 mwaka 2012 na K-Lyn aliyekuwa na miaka 34. Mwanaume focus yako inapaswa kuweka maisha yako sawa vingine vyote vitakaa kwenye reli automatically.
 
Kama una jiko la gas, rice cooker, sufuria, kitanda unasubiri nini ndugu??
 
Ongeza kasi ya kutongoza , Wanawake ni wengi mno mitaani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom