Umoja wa Ulaya (EU) Waipatia Serikali ya Tanzania Tshs Bilioni 8 Kuendeleza Mradi wa Migebuka

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Mar 8, 2020
2,207
4,702
Ni habari njema kwa wapenda maendeleo wote nchini Tanzania shukrani kwa Uongozi imara wa Mhesh Rais Dkt John Pombe Magufuli.

Serikali ya Tanzania itapokea tshs bilioni 8 mahsusi kwa ajili ya kuendeleza mradi maalumu wa kuendeleza samaki aina ya migebuka wanaopatikana kwa wingi Mkoani Kigoma na dagaa.

Mradi huo wa kimkakati wenye lengo la kuinua sekta ya uvuvi nchini utafadhiliwa na Umoja wa Ulaya almaarufu European Europe.

Chanzo: Habari leo
 
Wale samaki aina ya migebuka watamu sana hususani ule kwa ugali mix dona na mhogo.Mleta uzi umesahau juhudu za JPM.
 
Ni habari njema kwa wapenda maendeleo wote nchini Tanzania shukrani kwa Uongozi imara wa Mhesh Rais Dkt John Pombe Magufuli...
Ni vizuri wangeweka wazi kuwa miradi ya hivyo ni kwa nchi kadhaa za Afrika, na Tanzania ikiwa mojawapo, tena Tanzania imepata fedha kiduchu kulinganisha na nchi nyingine zilizopata ufadhili huo.
 
WAZUNGU
1. Wakitoa pesa (msaada) - Wahisani
2. Wakija kutembelea mbuga za wanyama - Watalii
3. Wakija kufanya biashara - Wawekezaji
4. Wakipishana mtazamo - Mabeberu
Mliwaambia wasitoe mikopo wala misaada TZ, vipi hawajatusikiliza?
 
Ni vizuri wangeweka wazi kuwa miradi ya hivyo ni kwa nchi kadhaa za Afrika, na Tanzania ikiwa mojawapo, tena Tanzania imepata fedha kiduchu kulinganisha na nchi nyingine zilizopata ufadhili huo.
Nchi nyingine zimepata ngapi?
 
Mabeberu yanajikomba, udenda unawatoka tunavyozilinda rasilimali zetu. Hamzipati ng'ooo. HATUDANGANYIKI
 
Tungeelekeza juhudikuongeza hewa safi ili walaji wa migebuka wawepo, vinginevyo migebuka itakosa walaji
 
Ni vizuri wangeweka wazi kuwa miradi ya hivyo ni kwa nchi kadhaa za Afrika, na Tanzania ikiwa mojawapo, tena Tanzania imepata fedha kiduchu kulinganisha na nchi nyingine zilizopata ufadhili huo.
Sasa kama tume pokea kiduchu kulinganisha na nchi zingine si uweke hizo data, au ndio tabia za "umbeya" endelea nazo labda ndio sifa zako kuu
 
Ni vizuri wangeweka wazi kuwa miradi ya hivyo ni kwa nchi kadhaa za Afrika, na Tanzania ikiwa mojawapo, tena Tanzania imepata fedha kiduchu kulinganisha na nchi nyingine zilizopata ufadhili huo.
Sasa kama tume pokea kiduchu kulinganisha na nchi zingine si uweke hizo data, au ndio tabia za "umbeya" endelea nazo labda ndio sifa zako kuu
 
Ni vizuri wangeweka wazi kuwa miradi ya hivyo ni kwa nchi kadhaa za Afrika, na Tanzania ikiwa mojawapo, tena Tanzania imepata fedha kiduchu kulinganisha na nchi nyingine zilizopata ufadhili huo.
sumu sumu sumu
chuki chuki chuki
roho mbaya
uchawi uchawi
WIVU WIVU
 
Back
Top Bottom