Umoja wa Chama cha Wajane Wamtembelea Bi Jackline Mengi

Umoja wa Chama cha Wajane Wamtembelea Bi Jackline Mengi

Mimi.

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2011
Posts
2,119
Reaction score
3,063
46CB6AAF-2553-46DF-B007-E50AB4315F20.jpeg
46CB6AAF-2553-46DF-B007-E50AB4315F20.jpeg
UMOJA wa Chama cha Wajane na Wagane nchini wamefunga safari mpaka nyumbani kwa mjane wa marehemu Reginald Mengi, anayefahamika kwa jina la Jacqueline Mengi, kwa lengo la kumfariji ikiwa ni miezi michache imepita tangu mumewe afariki dunia.
 

Attachments

  • FF379BE9-DC8D-4DCD-B065-52BDBBB4A1D0.MP4
    5.7 MB
Back
Top Bottom