Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 10,805
- 15,903
Wanawatembelea wanaoweza kuwapa lanchi na sharbati baridii.
Ha ha ha! Wosia wa kitapeli!!!! Naanza kuamin ubuyu wa MK! Nilijua mzushi kumbe kuna kaukweli!!!Hawa wahuni tu hawawezi kufanya kwa watu wote, wapo hapo kimkakati, wamealikwa ili bibie apate public sympathy baada ya wosia wake wa kitapeli
Wenye pesaHuu Umoja Huwa Unatembelea Wajane Wa Aina Ipi? Tuanzie Hapo Kwanza
Hawa wahuni tu hawawezi kufanya kwa watu wote, wapo hapo kimkakati, wamealikwa ili bibie apate public sympathy baada ya wosia wake wa kitapeli
Niliposikia ametembelewa na chama nilijua tu kuna kamchezo hapa. |
Wamewahi kufanya hivyo kwa wajane na wagane wangapi? au sababu ni Jacqueline MengiView attachment 1190668View attachment 1190668UMOJA wa Chama cha Wajane na Wagane nchini wamefunga safari mpaka nyumbani kwa mjane wa marehemu Reginald Mengi, anayefahamika kwa jina la Jacqueline Mengi, kwa lengo la kumfariji ikiwa ni miezi michache imepita tangu mumewe afariki dunia.
Naona wameona hati za mirathi mkuu,hii ndio Bongo na ndio maana ikaitwa kwa hilo jina,maisha ya ujanja ujanja hata kwa wenye nazo,maigizo sijui hadi lini anayafanya huyu mjane.Hawa wahuni tu hawawezi kufanya kwa watu wote, wapo hapo kimkakati, wamealikwa ili bibie apate public sympathy baada ya wosia wake wa kitapeli
Wajane ambao waume zao walikuwa mabilionea.Huu Umoja Huwa Unatembelea Wajane Wa Aina Ipi? Tuanzie Hapo Kwanza
Duuh!😁😁Siyo mjane huyo kwani Hussein element kafa lini?
Tamaa zimekupofusha macho kiasi kwamba mama mkubwa unamuita mtoto.Na huyo mtoto mwenye nguo nyekundu naye ni mjane ?