Ila dada zangu mnaodanga muone aibu,yaani huyu kahomola mali zote za Mengi daah.Alafu kesho nae utasikia anapewa tuzo ya malkia wa nguvu,anatoa ushauri kwa wajasilia mali kumbe yy ni mjasilia K.
Ni mjane,lakini sio mjane wa kweli.She is too young.Vp akiamua kuolewa tena, atapoteza sifa za kuwa kwenye umoja huo?
Kwenu Mbagala chama chenu CCM si kipo?Kumbe kuna chama hicho?? Mbona sijawaona huku kwetu??
Agombee udiwani kwa tikiti ya CCM halafu awe anawagawia elfu saba saba wajumbe. (Hivi kwanini wajumbe wa chama hiki ni watu wenye njaa sana)???Akitaka asibugudhiwe aichangie CCM nusu ya utajiri wake ataishi kama malkia
Anavyoongea kama mtu fulani hivi kaonewaaaaaaaa kumbe staili za upigaji.... mweh! OvyooooiView attachment 1190668View attachment 1190668UMOJA wa Chama cha Wajane na Wagane nchini wamefunga safari mpaka nyumbani kwa mjane wa marehemu Reginald Mengi, anayefahamika kwa jina la Jacqueline Mengi, kwa lengo la kumfariji ikiwa ni miezi michache imepita tangu mumewe afariki dunia.
Jivi jack ni socialite ?Hawa wahuni tu hawawezi kufanya kwa watu wote, wapo hapo kimkakati, wamealikwa ili bibie apate public sympathy baada ya wosia wake wa kitapeli
Haya machadema buana, Aaagrrrr!! Kila likilala linaiota ccm, likiamka linaiona ccm! Hata lini??Kwenu Mbagala chama chenu CCM si kipo?
Sasa huu ni uhini wa kijinga lazima kuna mwana siasa wa CCM ana Simamia huu uhuni!
Maana uhuni huu una fanana na chama!