Sheria za TCRA si zinakataza redio za kiluga Luga? hawajawasikia hawajama wa ebony fm wanavyochanganya kiluga?
Ni kama redio moja ipo Chugga inaitwa Sunrise........wana vipindi vizuri ila hao watangazaji sasa.........kuna huyo Senga Katoroki........sijui walimtoa wapi........hajui tofauti ya R na L.......anaboa kichizi...........
ebony ??? mi nimezoea kuliona hili neno kwenye porn
Heri yenu mnapataga hata muda wa kusikiliza redio hadi kuweza kulinganisha na kukosoa.
Niombeeni nami niwe tajiri.
Sheria za TCRA si zinakataza redio za kiluga Luga? hawajawasikia hawajama wa ebony fm wanavyochanganya kiluga?
HUYO EDO kaz kuongea kilugha radion hana jipya anadhan wote wahehe bwana anaboaa! halaf tatzo wanaiga CLOUDS FM mpaka basi hawanavitu vyao vipya ni ku copy na ku paste tuu! niliisha ACHA kuisikilza inaboa kichz..
yan imejaa uluga luga tu mtangazaj anajichekesha mahal pasipochekesha na kinachoboa zaid ni copy & paste pamoja na kuongea kihehee utazan tanzania nzma n wahehe! wasipobadirka watachekesha mjin hapa!
Tatizo la clouds ni kufuruliza matangazo ya biashara mpk kero. Matangazo mpk 8 consecutively??
Ebony iko juu sana, napenda kipindi cha michepuko magazetini akina Maregesi duh safi mnoo. Na online iko clear hatari hawakatiki kama clouds fm!
Mi ni mhehe but coz tayari radio imeshakua na inasikika mikoa mingine nje ya Iringa especially Dizm inabid watangazaji waache UHEHE HEHE!
Hii inawakera sana ambao sio wahehe