ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,146
- 7,683
Guyz kati ya redio nazo zikubali hapa bongo basi EBONY FM ndo ya kwanza ipo Iringa hii radio inasikika nyanda za juu kusini kote na sasa imefika Dar es salaam a.k.a kumwaaaani (in eddo voice)
Kama upo Dar na bado hujaisikiliza hii redio basi tune 106.9 utakuja niambia ina elimisha na kuburudishaa hadi raha
Mm ni mvivu sana wa kusiki liza redio lakin kuna mtangazaji mmoja wa EBONY FM nampenda kuliko watangazaji wote hapa Tanzania nahisi yeye ndo anaongoza kwa kuchangamsha kuliko mtangazaji yeyote yule wa kituo cha redio nae ana itwa #EDDO BASHIR hasa kipindi chake kinacho anza sa saba hadi sa kumi kila siku jumatatu hadi ijumaa,kipindi chage cha ijumaa kuanzia sa tatu hadi sa saba na zile story zake na ongea yake mm napenda sanaa kubwa zaidi ile top 30 ya jumapili kuanzia sa 11 hadi sa 2 usiku
Kama umewahi msikia na kusikiliza hii redio utakuwa shuhuda wa haya nayo yasema na kama bado we sikiliza kwanza pia unaweza sikiliza online www.ebonyfm.com na vile eddo akiingizia kihehe kile na kingereza chake basi ni rahaaaaa....na zile swag zake na maneno ake sijui huwa anatoa wapi
Kubwa zaidi ni jinsi anavyo wainua ma underground kwenye mziki sijaona mwingine wa kumfananisha na Eddo kwa kuwa saidia wasanii chipukizi hapa Tanzania Wako poa sana Ebony
Basi Eddo utamsikia Dar es salaam kumwaaaaaaani! Ukitaka sherehe yako iwe good mwambie jamaa awe MC duuu ni shigidaaaaaa jamaa yupo talented kiukweliii
Mnao ifahamu shuhudien haya na ambao bado sikilizen mje mshuhudie
Shikamoo Eddo
Shikamoo Ebony Fm
Kama upo Dar na bado hujaisikiliza hii redio basi tune 106.9 utakuja niambia ina elimisha na kuburudishaa hadi raha
Mm ni mvivu sana wa kusiki liza redio lakin kuna mtangazaji mmoja wa EBONY FM nampenda kuliko watangazaji wote hapa Tanzania nahisi yeye ndo anaongoza kwa kuchangamsha kuliko mtangazaji yeyote yule wa kituo cha redio nae ana itwa #EDDO BASHIR hasa kipindi chake kinacho anza sa saba hadi sa kumi kila siku jumatatu hadi ijumaa,kipindi chage cha ijumaa kuanzia sa tatu hadi sa saba na zile story zake na ongea yake mm napenda sanaa kubwa zaidi ile top 30 ya jumapili kuanzia sa 11 hadi sa 2 usiku
Kama umewahi msikia na kusikiliza hii redio utakuwa shuhuda wa haya nayo yasema na kama bado we sikiliza kwanza pia unaweza sikiliza online www.ebonyfm.com na vile eddo akiingizia kihehe kile na kingereza chake basi ni rahaaaaa....na zile swag zake na maneno ake sijui huwa anatoa wapi
Kubwa zaidi ni jinsi anavyo wainua ma underground kwenye mziki sijaona mwingine wa kumfananisha na Eddo kwa kuwa saidia wasanii chipukizi hapa Tanzania Wako poa sana Ebony
Basi Eddo utamsikia Dar es salaam kumwaaaaaaani! Ukitaka sherehe yako iwe good mwambie jamaa awe MC duuu ni shigidaaaaaa jamaa yupo talented kiukweliii
Mnao ifahamu shuhudien haya na ambao bado sikilizen mje mshuhudie
Shikamoo Eddo
Shikamoo Ebony Fm