Umewahi kuwa na Mahusiano ya kimapenzi na Mchawi? ilikuwaje?

Wakuu habari zenu,

Binafsi nikikumbuka mpka nasema kweli Mungu yupo. Yule dada alikuwa mchawi kweli kweli na kila mtu alimuogopa. Mimi baada ya kutoka chuo nikaenda kumtembelea babu kijijini mitaa ile nikamuona binti mrembo balaa nikasema huyu ndo level za sisi wasomi.

To make story short. Baada ya kumuomba mbususu tukaenda guest bhana ile anavua nguo namuona ana mahirizi kama yote, mara Chale mwili mzima.

Nikamuaga naenda kukojoa huku nasema kimoyomoyo FIRE FIRE FIRE (bahati nzuri haikuwa self) ndo ikawa mazima na nikamblock. Kesho yake niliaga kwa babu nikamwambia nimepata dharula nikasepa zangu huku nikiwa na hofu tele.

Wewe ilikuwaje?
chai
 
Sitokaa nimsahau yule kenge, picha linaanza namwambia zima taa akanyoosha mguu tena umbali mrefu tu, nikastuka sana nikamwambia hebu washa tena akagoma! ulabu wote ulikata! Baada ya hapo nilianzisha vurumai ili nipate sababu ya kusepa, nikafanikiwa, niliumwa wiki nzima, ikawa kila nikienda mahali ananitokea, muda mwingine kama mhudumu wa bar, nesi nk..nilimtafuta nikampa black n white, akakiri kwamba alinipenda mno na nilimkwaza sababu tu nilimuahidi game , wakati naongea nae ilikua MRC Mikocheni, nyuma ya Shoppers, nikamwambia we nipotezee tu, asee from nowhere, waliibuka paka watatu chini ya miguu yangu, nilichukia ile nataka kunyanyuka ilipiga radi moja hatari na alikuwa amekasirika mm kumpiga chini, baadae nikawa na chat nae tu kama rafiki nikamwambia kwanini ushirikina wako usiutumie kutafuta hela? Akanambia ni kweli lakini nikitaka hela ni mpaka niwe nae kwenye mahusiano, alikua ana duka kariakoo, mshenzi sana, nikienda viwanja sijui Juliana , tripple 7 ,bulls park au fosters nikiagiza kinywaji ghafla namuona amekaa kwa mbali, nikiwa sina hela muamala huo na msg juu kwamba "najua huna hela" yani kila nikiwa na shida na pesa nikiwaza bila hata kumwambia mtu ghafla muamala unasoma, sasa sijui ni mchawi au jini yule ng'ombe, Dar isikie hivi hivi, yakikukuta utakaa kwa discipline!

Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣🤣Mkuu itoshe kusema ww ni komandoooo
 
Mwaka wa kwanza chuo nilipata demu sasa siku ya kwanza kulala nae akageuka nyoka nikajifanya sijaona

Siku ya pili akageuka kenge nikajifanya sijaona

Siku ya tatu akageuka fisi nikajifanya sijaona

Siku ya nne akageuka kobe nikajifanya sijaona

Siku ya tano akageuka bundi nikajifanya sijaona

Basi bwana wee akajichanganya siku ya 6 akageuka kuku nilimdaka kwa kasi ya kimbunga kisu cha shingo kesho yake asubuhi nikampika na pilau nikala na wanangu
Wilfred Ramadhan
Jovine machele
Frank machela
Issa stima
John mboya
Festo isaya
Bakari ruhiso
William temba
Huyo huyo Jonh mboyo nafkiri anajina la raisi wa Rwanda humu.
 
Sitokaa nimsahau yule kenge, picha linaanza namwambia zima taa akanyoosha mguu tena umbali mrefu tu, nikastuka sana nikamwambia hebu washa tena akagoma! ulabu wote ulikata! Baada ya hapo nilianzisha vurumai ili nipate sababu ya kusepa, nikafanikiwa, niliumwa wiki nzima, ikawa kila nikienda mahali ananitokea, muda mwingine kama mhudumu wa bar, nesi nk..nilimtafuta nikampa black n white, akakiri kwamba alinipenda mno na nilimkwaza sababu tu nilimuahidi game , wakati naongea nae ilikua MRC Mikocheni, nyuma ya Shoppers, nikamwambia we nipotezee tu, asee from nowhere, waliibuka paka watatu chini ya miguu yangu, nilichukia ile nataka kunyanyuka ilipiga radi moja hatari na alikuwa amekasirika mm kumpiga chini, baadae nikawa na chat nae tu kama rafiki nikamwambia kwanini ushirikina wako usiutumie kutafuta hela? Akanambia ni kweli lakini nikitaka hela ni mpaka niwe nae kwenye mahusiano, alikua ana duka kariakoo, mshenzi sana, nikienda viwanja sijui Juliana , tripple 7 ,bulls park au fosters nikiagiza kinywaji ghafla namuona amekaa kwa mbali, nikiwa sina hela muamala huo na msg juu kwamba "najua huna hela" yani kila nikiwa na shida na pesa nikiwaza bila hata kumwambia mtu ghafla muamala unasoma, sasa sijui ni mchawi au jini yule ng'ombe, Dar isikie hivi hivi, yakikukuta utakaa kwa discipline!

Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
Chai tena ya moto
 
Wakuu habari zenu,

Binafsi nikikumbuka mpka nasema kweli Mungu yupo. Yule dada alikuwa mchawi kweli kweli na kila mtu alimuogopa. Mimi baada ya kutoka chuo nikaenda kumtembelea babu kijijini mitaa ile nikamuona binti mrembo balaa nikasema huyu ndo level za sisi wasomi.

To make story short. Baada ya kumuomba mbususu tukaenda guest bhana ile anavua nguo namuona ana mahirizi kama yote, mara Chale mwili mzima.

Nikamuaga naenda kukojoa huku nasema kimoyomoyo FIRE FIRE FIRE (bahati nzuri haikuwa self) ndo ikawa mazima na nikamblock. Kesho yake niliaga kwa babu nikamwambia nimepata dharula nikasepa zangu huku nikiwa na hofu tele.

Wewe ilikuwaje?
Kwahiyo mzinzi akamkemea mchawi kwa jina la Yesu.
 
Sitokaa nimsahau yule kenge, picha linaanza namwambia zima taa akanyoosha mguu tena umbali mrefu tu, nikastuka sana nikamwambia hebu washa tena akagoma! ulabu wote ulikata! Baada ya hapo nilianzisha vurumai ili nipate sababu ya kusepa, nikafanikiwa, niliumwa wiki nzima, ikawa kila nikienda mahali ananitokea, muda mwingine kama mhudumu wa bar, nesi nk..nilimtafuta nikampa black n white, akakiri kwamba alinipenda mno na nilimkwaza sababu tu nilimuahidi game , wakati naongea nae ilikua MRC Mikocheni, nyuma ya Shoppers, nikamwambia we nipotezee tu, asee from nowhere, waliibuka paka watatu chini ya miguu yangu, nilichukia ile nataka kunyanyuka ilipiga radi moja hatari na alikuwa amekasirika mm kumpiga chini, baadae nikawa na chat nae tu kama rafiki nikamwambia kwanini ushirikina wako usiutumie kutafuta hela? Akanambia ni kweli lakini nikitaka hela ni mpaka niwe nae kwenye mahusiano, alikua ana duka kariakoo, mshenzi sana, nikienda viwanja sijui Juliana , tripple 7 ,bulls park au fosters nikiagiza kinywaji ghafla namuona amekaa kwa mbali, nikiwa sina hela muamala huo na msg juu kwamba "najua huna hela" yani kila nikiwa na shida na pesa nikiwaza bila hata kumwambia mtu ghafla muamala unasoma, sasa sijui ni mchawi au jini yule ng'ombe, Dar isikie hivi hivi, yakikukuta utakaa kwa discipline!

Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
Chai tembele
 
Back
Top Bottom