Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,288
napenda ya kwangu soma hapo chini
via mobile! Sjaona kitu lahaula
napenda ya kwangu soma hapo chini
asante sana naibu katibu mkuu.
Mwajuma umemtia machoni leo?
Ipi ni signature nzuri kati ya hawa wawili?
ondoka wewe
Asante dear, na mimi nimefurahi kurudi... I should have come earlier, I feel so good to interact!
Good to see you as well
Huu mjadala wa signature ya NN ulikuwa mzito sana hapa JF miaka iliyopita...sikumbuki kama tulifikia muafaka kabisa.....kina Mwanakijiji, FMES, Pundit, Mwafrika wa Kike and the like...kifupi una a very long philosophical background, and of course heated debate..ila NN kama umjuavyo amestick to his words, nadhani hadi leo hakuna aliyeweza kumshawishi vinginevyo. So, Normatively kwen mjadala wa signature you cant miss this out
Khaaaaaaaa!!!Khaaaa! ukiskiliza wadaku hatutofika mbali honey!
pamoja mkuu
Umenikumbusha mbali sanaYeah Nyanzala ni jina la Kinyamwezi kuna dada mmoja alikuwa anaitwa hivyo na alikuwa GF wangu ni Mnyamwezi wa Vumilia katikati ya Urambo kwa mh. 6 na Kaliua kwa mh. Kapuya