mtamanyali
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 1,161
- 613
Kwenye mashindano ya kula ugali kwa mboga ya ajabu washindi walikua kama ifuatavyo, mshindi wa tatu alikula ugali kwa kulumangia na chumvi mfuko mzima, mshndi wa pili alikula ugali bakuli la maji almanusura atwae kombe! Na ndipo mshndi wa kwanza alipojitokeza na kuwafunika wote kwa kula ugali mkubwa na ugali mdogo kama mboga!