Umewahi kusikia mashndano haya?

Umewahi kusikia mashndano haya?

mtamanyali

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2011
Posts
1,161
Reaction score
616
Kwenye mashindano ya kula ugali kwa mboga ya ajabu washindi walikua kama ifuatavyo, mshindi wa tatu alikula ugali kwa kulumangia na chumvi mfuko mzima, mshndi wa pili alikula ugali bakuli la maji almanusura atwae kombe! Na ndipo mshndi wa kwanza alipojitokeza na kuwafunika wote kwa kula ugali mkubwa na ugali mdogo kama mboga!
 
Kwenye mashindano ya kula ugali kwa mboga ya ajabu washindi walikua kama ifuatavyo, mshindi wa tatu alikula ugali kwa kulumangia na chumvi mfuko mzima, mshndi wa pili alikula ugali bakuli la maji almanusura atwae kombe! Na ndipo mshndi wa kwanza alipojitokeza na kuwafunika wote kwa kula ugali mkubwa na ugali mdogo kama mboga!
kudadadekiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
mkuu umeikosha roho yangu, huyo wa ugali mkubwa kwa ugali mdogo ni noma. Ila nitarudi baadae kidogo
 
Duh huyo mshindi wa kwanza kiboko yao.
 
Aithee,mbona mmemtotha yule mpare aliyekula ugali kwa stori sa thamaki!
 
Hapo lazima ugali wa kisukuma ulikuwa 'ugali' na ugali wa Tanga na kwingineko ulikua mboga....Huyo kweli mshindi halali sio best 'luza'
 
ah haa haaa haaaa haaaaaaaaaaaaa...................u made my day mkuu
 
Back
Top Bottom