Umewahi kupigwa na mkeo au mwanamke?

Umewahi kupigwa na mkeo au mwanamke?

Anyway sijawahi pigwa ila nakumbuka ilikuwa ni siku ya jumamosi wakati niko darasa la Saba miaka 10s iliopita Kuna huyo dada jina lake linaanzia na R, alinizingua darasani akajawa upepo tutoke nje tukapigane, na kwa wakati huo alikuwa anasifika kwa kuwapiga hadi wavulana, basi tumetoka nje na mashabiki kibao wanatusubiri tuanze.

Nlimpiga mateke mawili ya tumboni ,mchezo ukaisha nimempiga kwa KO watu wakaamulia.
 
Kwa asili hakuna mwanamke anayeweza kumpiga mwanaume wala mwanaume anayeweza kumpiga mwanamke isipokuwa kuna kuoneana na kuoneana huruma tu.

NB; Kumpiga mwanamke kwa maana ya kumzagamua , [emoji3][emoji3] hiyo ni mara nyingi sana hata jana tu Kuna mama mchungaji nimemzagamua vilivyo
 
Kwa asili hakuna mwanamke anayeweza kumpiga mwanaume wala mwanaume anayeweza kumpiga mwanamke isipokuwa kuna kuoneana na kuoneana huruma tu.

NB; Kumpiga mwanamke kwa maana ya kumzagamua , [emoji3][emoji3] hiyo ni mara nyingi sana hata jana tu Kuna mama mchungaji nimemzagamua vilivyo
Tobaaaa! Umezini na mtumishi wa Mungu? Mama mchungaji???[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
 
Salaam binafsi sijawahi kupigwa na msichana achilia mbali demu wangu, je, katika maisha yako imewahi kukutokea ukapigwa na msichana katika ugomvi? Ilikuwaje? Funguka japokuwa ni aibu!!!

Kupigwa Sio issue maana Hakuna namna naweza hata inua mkono; issue ni whether naweza pigana na mwanamke; mwanamke akinipiga siwezi mrudishia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom