Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,332
- 14,255
Wewe tunakuondoa rasmi kwenye kundi la Wanaume rijali.Shule ya msingi darasa la pili enzi za kuweka kioo chini ya dawati unaangalia vya watu. So siku moja nikaweka kioo kwa mdada mmoja anaitwa Bahati ( alikuwa mkubwa kidogo mana si tulisoma wakubwa) akakinyaga kakivunja mwanaume nikavimba mdada akasimama tukazichapa sasa mistake kubwa nikamruhusu ngumi zakunigana akanishika. Duh! Nilichezea kucha na meno mengi sana nikanyooka nikaanza kulia.