Umewahi kupigwa na mkeo au mwanamke?

Umewahi kupigwa na mkeo au mwanamke?

Katika maisha lolote linaweza kukutokea sema wengi huwa tunaficha ukweli hatutaki kukubali udhaifu ila ukikuwa tutaongea lugha moja
Nimeshakua, acheni kula chips na soda nyie wanaume wa DSM, mnawaaibisha wenzenu. Halafu mkipigwa mnakimbilia kuficha, kwa nini sasa mnaficha? Fungukeni tuwajue dhaifu wakubwa nyie.
 
Pole kwa kudundwa maana hadi ufungue uzi basi yamekukuta mazito,

Btw, Mwanamke kumpiga Mwanaume ni sawa lakini Mwanaume kumpiga Mwanamke ni ujinga.

Case Closed.
Sijawahi na sitawahi kupigwa, nikikosea akiweza kunipiga anipige ila akikosea na mimi kwa kuwa naweza kumpiga kisawa sawa, basi namfumua hasa yaani mpaka manundu huwa anatoka, sikwepeshi!
 
Sijawahi pigwa na mwanamke na mwanamke yeyote atakaye leta ujinga mimi napiga tena vizuri tu haiwezekani mwenda wazimu mmoja atie maisha yangu hatarini, yaani ukinigusa wewe jua nafumua sijali jinsia yako
 
Sijawahi pigwa na mwanamke na mwanamke yeyote atakaye leta ujinga mimi napiga tena vizuri tu haiwezekani mwenda wazimu mmoja atie maisha yangu hatarini, yaani ukinigusa wewe jua nafumua sijali jinsia yako
Hahaha wanakuambia ukimpiga mwanamke eti huna nguvu za kiume za kutosha, pia si rijali.
 
Mbona sio aibu mzee...ukisema upigane na mwanamke utapigana nae kama unapigana na mwanaume mwenzio...unamwacha akupige tu awaumizagi
 
Pole kwa kudundwa maana hadi ufungue uzi basi yamekukuta mazito,

Btw, Mwanamke kumpiga Mwanaume ni sawa lakini Mwanaume kumpiga Mwanamke ni ujinga.

Case Closed.
😂😂😂😂😂😂na mwanaume atayekubaliana na huo utopolo ni yule mwanaume aliyewekewa limbwata tu labda na mume bwege(nice guy) ila sio kwa real man ambaye anajitambua yeye ni nani na nguvu yake ni ipi🚶
 
Nenda kashtaki umepigwa na mwanamke usikie majibu yake lakini kashtakiwe na mwanamke kua umempiga ndio utaona mziki wake.
Potelea pote, nishashitakiwa mara kibao mno kwa kupiga mwanamke ninapoletewa upuuzi, uzuri huwa nashinda kesi huko dawati la jinsia.

Wanatuambia tu nendeni mkayaongee wenyewe, hata hawapeleki shauri mahakamani, mke ni wangu sasa kwa nini waingilie nikimpiga ili kumnyoosha?
 
Nenda kashtaki umepigwa na mwanamke usikie majibu yake lakini kashtakiwe na mwanamke kua umempiga ndio utaona mziki wake.
Bado hujajibu swali langu, nitajie nchi pamoja na vifungu vya sheria zinazoruhusu jinsia moja kupiga nyingine.
Ninapoishi sheria hazitambui jinsia katika masuala ya domestic violence kwa hiyo nikienda kushtaki unafungwa ama kulipa faini ama vyote viwili kwa pamoja.
Kwa hiyo kuishi katika nchi zenye upendeleo wa jinsia ndo unaona umepewa haki ya kupiga binadamu wenzako na entitlement nyinginezo on some mere basis wewe ni mwanamke?
Halafu unajiskiaji kuishi katika nchi yenye upendeleo wa kijinsia? Leo imependelea yako, kesho nyingine huoni hilo ni tatizo na sio sifa?
 
Kwa asili hakuna mwanamke anayeweza kumpiga mwanaume wala mwanaume anayeweza kumpiga mwanamke isipokuwa kuna kuoneana na kuoneana huruma tu.

NB; Kumpiga mwanamke kwa maana ya kumzagamua , [emoji3][emoji3] hiyo ni mara nyingi sana hata jana tu Kuna mama mchungaji nimemzagamua vilivyo
Kumzagamua maana yake Nini??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom